Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Huo mudaa wa kutafuta comment siwez ndugu ila tu watu wotee wanaonitukana huwa nawafungia vioo sishobokei id zaooo basi ili maisha yaende sawaa
Kukuambia hujiamini ndio kukutukana!,[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]basi nilichokisema kitakuwa na ukweli ndani yake
 
[emoji16] [emoji23] [emoji16] nipe lose ball hiyo,, mzee baba hadi umeipotezea huenda mzigo famba,, ana chura chokozi? [emoji119]
Picha yake ya facebook inaonyesh sehemu ya juu ya mwili. Sasa sijui huko chini ni Flat screen au sony wega
 
Picha yake ya facebook inaonyesh sehemu ya juu ya mwili. Sasa sijui huko chini ni Flat screen au sony wega
[emoji16] [emoji16] sony wega hahaha,, fanya kautafit kwanza nijue kama Mchura uPO,,
 
Demiss umenichekesha hadi nmelia, eti kavaa likaptura likubwa kachomekea na litisheti, huishagi vituko jamani, mm huwa siwakimbii kabisaaa ntamuona nitasalimiana nae halaf namwambia bahati mbaya nmepata dharura sitaweza kukaa sana , nkitoka hapo nablock kila kitu ,sema labda wao ndo wananikimbiaga hahahahahah
Dah kuna mdada nimembolck juzi hapa tu...
 
Mm bwana nishakutana na demu kituko lakin ckuweza kumkimbia maana nilijikaza ckutaka ajiskie vibaya wala hajione tofauti maana hakupenda kuwa hivo bali ni hali ya umbaji wa mungu au maisha yalivyo mtreat
we jasiri baba namna hiyo
 
Wasalaaam!

Hapa nazungumzia zaid kwenye suala la kutongozana kati ya mwanamke na mwanaume.

Katika harakat za maisha mm kama Demiss uwiiiii nimeshawakimbia sana wanaume baada ya kukutana na vituko .

1.Huyu alikuwa mwanaume aliyekosea namba tukawa tunawasiliana zaid ya mwaka mmoja bila kuonana maana yeye alisema hana account facebook wala hayupo whatsap.
Basi alishiaa kuniambia tu sifa zake jinsi alivyo kwenye simu kuwa mweusi mrefu wastani na nguo anazopendelea kuvaaa akimaniisha hapo tayar nitahisi anafanana vipi .Aiseeh nilimwambia unafanana na Joh Makini akasema ndiyo .[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Na mm bila kukaaa nyuma nikamweleza sifa zangu yani muonekano wangu jinsi nilivyo kama Black chocolate ,mrefu alafu mwili wa wastani nina chura chokozi na ninapenda kusukaaa macho ya mviringo kama gololi.
Hapo mwanaume akavuta picha nafanana kama Alicia keys.

Balaa sasa siku ya kuonana nakumbuka nilikuwa nimeenda Jitegee sekondary kuchukua uhamisho wa Mdogo wangu basi kwa sababu yule mkaka alisema anafanya kazi Mitaa ya Uhasibu nikasema leo ndo siku ya kuonana maana kipindi tunawasiliana mm nilikuwa mkoan Morogoro hivyo nilikuja Dar kwa masuala ya uhamisho wa mdogo wangu.

Basi baada ya kumaliza issue zangu nikaenda kukaaa pale kituo cha uhasibu kwa ajili ya kusubiri gari za Mbagala huku nawasiliana na yule mkaka aje tuonane .

Uwiiiii nilikuwa nimekaa kwa machale najua mnaelewa mchezo wa kuviziana na mtu usiyemjuaaa inavyokuwaaa ni balaaaaa akipig simu unachelewaa kupokeaaa unaangalia nan anayekupigia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Uwiii ghafla vuuup namuona mkaka anakuja amevaa likaptulaaa kubwaaa halimtoshi alafu kachomekea na Tshirt jaman chini kavaaa mabuti ni anatishaa jaman uwiiiii(Mnisamehe Demiss napenda mahanshaamy mnanijua lakini)

Mkaka alikuwa anatisha uuuuuuh nisingeweza kumvumilia kwa kweli nilitoka nduki nikaingia kwenye DCM zile zilizokuwa zinaenda Mbagala Rangi 3 na Mbagala kuuu.

Kituko sasa badala ya kupanda Gari za Kwenda Mbagala Rangi 3 nikajikuta nimefika Mbagala kuu hapo simu nimeizima kabisaa
Nilivyofungua sm nilikutana tu na sms za kwann nimemkimbia mm wala sikujibu nikapotezea.

2.Sharobaro mwembamba
Katika maisha hakuna kitu sikipendi kama wanaume wembamba alafu warefuu .
Huyu mkaka sharo nakumbuka sjui alikosea namba na yeye alikuwa anakaa Kimara suka huko tukawa tunawasiliana .

Baadae akawa amenitumia nauli nitoke Moro niende Dar nikasema niende kuonana na mtu simjui wala siwezi nikikutana anafanana kama kibwengo nitafanyaje sitak aiseeee ikabidi ile nauli iishie kwenye mitumba ya Sabasaba sokoni watu wa Moro mnaelewaa shughuli ya Sabasaba.

Basi yule mkaka akaona isiwe tabu ngoja aje mwenyewe mpaka Morogoro aje tuonane.
Siku hiyo nikaenda kukaaa pale Vijana social hall ipo maeneo ya sabasaba ila nilikaa pembeni yake nikawa nampa Direction huyo mkaka aje mpaka Geti la vijana social.

Jaman alivyofika ni mwembamba mrefuu alafu kavulana kadogo kiukweli mm nisingeweza nilivyojiridhisha ni yeye nikazima simu alafu nikapita pale pale alipokuwa amesimama nikaenda zangu kuchukua bodaboda nikasepa zangu Home.(Uwiiii kaka unisamehe nisingeweza)


Ila jaman haya yalikuwa maisha ya kupita tu na ilikuwa ni lazima itokeee hivyo msinilaumu sana.

Bila kusahau kuna member moja wa hapa Jamiiforum nilishawahi kumkimbiaaa jamn sikutegemea kama ningemkuta hivyo nilitoka ndukiiii[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]nusu nivunje milonjoo kwa sababu alinitumia picha siyo zake siku namuona weeeee nilikimbiaaa Mwendo kama Chopa za Urusi.



Mrs Jr chamdeko.
Hahahaha sio mzima WEWE!
 
Kuna mmoja nili mpokea fresh tu, mtoto Mashallah sura kajaaliwa, sauti ndio usiseme ila kilichonishinda, tuko kitandani usiku wakati wa mambo yetu yale, mtoto akanilazimisha nisiwashe taa, nikasema poa. Akatoa top nikatoa t shet, akatoa mini nikatoa jeans, akatoa cost nikatoa boxer, hapo kidogo nikashtuka. Nikamwambia hapana hatuwezi kufanya kwenye kiza kabisa hivyo inabidi tuwashe walau vitaa vile tudogo (blue, green au red). Mtoto akakubali. Nikawasha na kurudi kitandani Lahaulaaaa! Mtoto ana michirizi kama Kibao cha kukatia kashata au kama gogo la kuvunjia mifupa ndani ya bucha unaambiwa muda huo huo kibamia changu kilirudi ndani hadi kila nikikitafuta nikawa siwezi kukishika. Ilibidi nimwambie tu game nimepostpone
 
Naona kama ni panchi na kujisifia tu...

I think hao wanaume ndio walikutana na unexpected...
Hata juz nilikua nakula sem d3m m1 akawa anasema et
Mm sibabaishwi na mwanaume...ukiangalia sura ya hyo msemaji hata semenya anahafali.....
 
Back
Top Bottom