Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Hapo nitamwambia nenda kaoge nitaangalia kama choo kina ufunguo nina hakika lodge ambazo ni nzuri Zina toilet zenye ufunguo hapo ndo nitakapocheza na akili yangu.

Kiukweli nitamfungia chooni tu hakuna namna.
Kakuita na kuoga keshaoga wewe ndo umemkuta ndani, akaoge mara nyingine ili iweje. Aoshe dhambi?
 
Kakuita na kuoga keshaoga wewe ndo umemkuta ndani, akaoge mara nyingine ili iweje. Aoshe dhambi?
Ndo maana nimesema kutumia akili lazima nitamfanya aogeee tena kwahiyo ataingia tu kwenye mtego wa kukimbiwaa
 
[emoji2] njia ya kumfanya akaoge ndo tatizo hapoo, unamkuta nywele bado zina unyevu wa bafuni. Utakimbilia wapi?
Aiseee hiyo itakuwa umepatiakana sasa hakuna jinsi alafu inakuwaje mtu umfahamu ukakutane naye kwenye chumba cha hotel ni ngumu sana aiseeeee
 
Aiseee hiyo itakuwa umepatiakana sasa hakuna jinsi alafu inakuwaje mtu umfahamu ukakutane naye kwenye chumba cha hotel ni ngumu sana aiseeeee
Kama uliweza kumkubali humjui, ushindwe hiko. Yaani ukalainika kiaa sauti ya kiume imekuchombeza kwenye simu. Ukidata huwi makini
 
Siyo kwa upande wangu ila kuna wengine wanaweza my mtu ambaye simfahamu napenda nikutane nayeee sehemu ya waziii
Mmmmh let me guess,.... Anayepekua majani kwa umakini ni yule aliyewahi kukanyaga nyoka kwenye majani..... Umakini wako huo, kuna zito lilikukumba si bure
 
Mmmmh let guess,.... Anayepekua majani kwa umakini ni yule aliyewahi kukanyaga nyoka kwenye majani..... Umakini wako huo, kuna zito lilikukumba si bure
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]yawezekana ila mambo mengine hubaki siri ya muhusika.

Hata kama siyo mm yawezekana nimesoma kwenye hadithi mbali mbali nimejifunzaa ndo maana nikawa na umakini.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]yawezekana ila mambo mengine hubaki siri ya muhusika.

Hata kama siyo mm yawezekana nimesoma kwenye hadithi mbali mbali nimejifunzaa ndo maana nikawa na umakini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Basiiiiiii, ushakubali limekukuta.... Poleeeee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Basiiiiiii, ushakubali limekukuta.... Poleeeee
Hilo halijawahi nikutaa ningekubali tu na kwa upande wangu na kufanya ujingaaa wote mambo kama hayo sijawahi Fanya kabisaaaaa
 
Hahahaaa. Sitaki ije kunikuta hiyo aisee sababu ni moja kati ya vitu ambavyo vinafadhaisha aisee hasa kwa yule anayekuwa amekimbiwa. Teh teh teh.

Sababu anaweza baki na maswali yasiyo na majibu. Hahahaaaa.
Nakuja Arusha, unikimbiee
 
Hilo halijawahi nikutaa ningekubali tu na kwa upande wangu na kufanya ujingaaa wote mambo kama hayo sijawahi Fanya kabisaaaaa
Inawezekana ila ni siri ya mhusika, nilikulenga wewe na umakini wako ukajibu hivyo.

[emoji2] sasa si ulikubali mwenyewe hapo
 
Nishawatoa watu dodoma mpk moro, afu mara mbili.

Wagogo wanapenda wepesi sana, sema kila dem alikuwa wamepinda kuanzia sura mpk vidole
 
Back
Top Bottom