General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
HahhahahKiukweli nilikuwa nakuchukia kabisaaa huwez kuamin na mm mtu anayenitukana kwenye sehemu ambayo sjafanya kitu kibaya na akarudia mara nyingi huwa namfungia viooo kabisa kuanzia kwenye nyuzi zakeee mpaka comment zake mmojawapo ni wewe.
Kumbee!![emoji23][emoji23][emoji23]
Mi sijuagi km ndivyo nilivyo, kumbe mkiwa humu mpo serious sana?
By the way, am not taking JF comments seriously.
Afu unaweza dhani nakufatilia kumbe wala, mi nakomentigi, nikiona uzi unazingua namzingua mleta mada.
Kama ulikuwa wanichukulia serious samahan sana mama.