Swali kuhusu ajira hizi mpya za Utumishi

Swali kuhusu ajira hizi mpya za Utumishi

Taitu2024

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2024
Posts
244
Reaction score
295
Naomba kuuliza kuhusu ajira hizi mpya za utumishi ziliotangazwa tar 7/7/2024

Je, kitakuwa na interview? Na kama ipo je waimbaji wataenda dodoma wote au Kwa mikoa na Kama ni kimkoa kumbe selikari Ina pesa kiasi cha kuendesha interview kila mkoa
 
Naomba kuuliza kuhusu ajira hizi mpya za utumishi ziliotangazwa tar 7/7/2024
Je kitakuwa na interview? Na kama ipo je waimbaji wataenda dodoma wote au Kwa mikoa na Kama ni kimkoa kumbe selikari Ina pesa kiasi Cha kuendesha interview kila mkoa
Interview siku hiz ni online....unapangiwa kituo sehem uliyopo, unaenda kukandwa
 
Naomba kuuliza kuhusu ajira hizi mpya za utumishi ziliotangazwa tar 7/7/2024

Je, kitakuwa na interview? Na kama ipo je waimbaji wataenda dodoma wote au Kwa mikoa na Kama ni kimkoa kumbe selikari Ina pesa kiasi cha kuendesha interview kila mkoa
maswali mazuri sana. ngoj waje au uwe na subira watatoa mwongozo kama kweli aijra zenyewe zipo, maana samia ni kura ndicho anachokiangalia , atafanya udanganyifu wowote!
 
maswali mazuri sana. ngoj waje au ue na subira watatoa mwongozo kama kweli ajra zenyewe zipo, maana samia ni kura ndicho anachokiangalia n atafanya udanganyifu wowote!
Yawezekana zisiwepo kabisa au zikaja kutoka kimkakati baada ya Samia kushinda
 
Interview siku hiz ni online....unapangiwa kituo sehem uliyopo, unaenda kukandwa
Sio on line sema zinafanywa kupitia computer tena ni written interview! Unafanya mahali ulipo wanateua vituo vya kufanyia! Kwa hiyo utakapofanyia interview ya kuandika itategemea adress yako ya sasa ulio weka kwenye tovuti ya utumishi!
 
Naomba kuuliza kuhusu ajira hizi mpya za utumishi ziliotangazwa tar 7/7/2024

Je, kitakuwa na interview? Na kama ipo je waimbaji wataenda dodoma wote au Kwa mikoa na Kama ni kimkoa kumbe selikari Ina pesa kiasi cha kuendesha interview kila mkoa
Kijana jiandae lazima ukandwe! Soma soma soma!
 
Hivi kwenye leseni mwaka tunaweka wa kuanza masomo had kumaliza au ni muda wa leseni?
 
Hivi kwenye leseni mwaka tunaweka wa kuanza masomo had kumaliza au ni muda wa leseni?
Unaweza kuandika mwaka ulipoipata hadi itakapo isha! Au ukaandika mwaka ulipo anza kuisomea hadi ulipoipata!
 
Hivi baada ya kuomba mfumo unasema already applied mikoa yote wanamaanisha Nini au ndo Kwamba umeomba uende mkoa Fulani alafu ukapangiwa mkoa mwingine tofauti na uliyoomba?
 
Hivi baada ya kuomba mfumo unasema already applied mikoa yote wanamaanisha Nini au ndo Kwamba umeomba uende mkoa Fulani alafu ukapangiwa mkoa mwingine tofauti na uliyoomba?
wanamaanisha watapanga wenyewe mfano madaktari wanaitajika 1000 mikoa yote ivyo wakioatikana watapangwa sio lazima mkoa ulioombea ndio upangwe huko
 
Back
Top Bottom