Mimi nandika kitabu fikirisha cha ujasiamli kitaweza kuisadia jamii maana kinajadili kwa kina mjasiriamali ambavyo anatakiwa aenende kwenye biashara na jinsi ya kukabiriana na yanayomzunguka. Kwenye ujasiriamali tunajifunza kwamba asilimia 80 ya mafaniko yanamtegemea mjasiriamali mwenyeye na hiyo asilimia nyingine ni mjasiriamali na yanayo muzunguka na hapo ndiyo patamu, samahani lakini nimekianadika kwa kimombo japo haitachukua muda mrefu kuandika kwa lugha aushi lugha mama ya kiswahili.Stay tuned coming out soon