Swali kuhusu uwezo wa CCM kuongoza nchi

Swali kuhusu uwezo wa CCM kuongoza nchi

Wakuu kuna sehemu nimekuta hili swali, na likanifikirisha sana. "
Hili ni swali la msingi kabisa asante sana mleta mada!
Kama CCM imeshindwa kusimamia bandari ambayo hata haizidi kilometa 10 mpaka wanaamua kubinafisisha je wataweza kweli kutuongoza watanzania ambao tuko mil 60 hadi tupate maendeleo tunayostahili?"
 
Alieuliza swali hilo ni mjinga sana!

Yeye kaona Bandari TU!!?hajaona MADINI,mbuga za wanyama n.k!!?

Kwani tangu ubinafsishaji uanze ni leo ndio kaona mikataba inaingiwa!!?
Kwani hiyo mikataba mibovu si ni hiyo hiyo miccm ndio inaiingia!!
Kwahiyo swali lake bado lina mantiki.
 
Wakuu kuna sehemu nimekuta hili swali, na likanifikirisha sana. "Kama CCM imeshindwa kusimamia bandari ambayo hata haizidi kilometa 10 mpaka wanaamua kubinafisisha je wataweza kweli kutuongoza watanzania ambao tuko mil 60 hadi tupate maendeleo tunayostahili?"
Ccm walishakwama kitambo toka ujamaa wao uporomoke, kwa sasa wana bahatisha tu.
 
naona swali lingekua, je wananchi wameshindwa kuchagua viongozi wa kuwaongoza?
Inategemea uchaguzi unasimamiwa na nani, kama unasimamiwa na wateule wa ccm unategemea matokeo yatakuwa nini?
 
Back
Top Bottom