Swali kumhusu Lissu lamkera Katibu Mkuu DP

Swali kumhusu Lissu lamkera Katibu Mkuu DP

Katibu wa DP ni mzalendo na mwanasiasa haswa....

Hawa ndio wanaojua heshima na utu Siasani.....

Hawa ndio wanaopongeza pale panapohitaji kupongeza.....

Ameunga mkono kauli ya mh.Rais juu ya TAHARUKI inayoendelea nchini......kosa lake liwapi ?!!

Wewe humwungi mkono mh.Rais juu ya kauli yake na amri yake ya kuyachunguza haya yanayotusibu hapa nchini ?!!

Kwani wewe hutaki kuwajua watekaji wakapate kuwajibishwa?

Kama kwa miaka yote hawajawahi kupatikana hudhani uchunguzi huru ndiyo iliyokuwa njia pekee ya kwenda ili kuwafahamu?
 
Kwani wewe hutaki kuwajua watekaji wakapate kuwajibishwa?

Kama kwa miaka yote hawajawahi kupatikana hudhani uchunguzi huru ndiyo iliyokuwa njia pekee ya kwenda ili kuwafahamu?
Nalipenda taifa langu nawapenda watanzania wenzangu.....

Natamani muda huu wawajibishwe....

Huo uchunguzi huru unataka uundwe kupitia njia zipi....nipe elimu mkuu wangu..
 
Nalipenda taifa langu nawapenda watanzania wenzangu.....

Natamani muda huu wawajibishwe....

Huo uchunguzi huru unataka uundwe kupitia njia zipi....nipe elimu mkuu wangu..

Ni ukweli usiopingika hawa hawawezi kutusaidia:

GXsPaGvXUAU4Kb4.jpeg


Hezbollah Lebanon analia kilio cha mbwa koko kwa kuzidiwa vilivyo Teknolojia.

Scotland yard wamewahi kutimba hapa ilipokuwa lazima.

Si hapa tu, usaidizi panapo dharura na nia haujawahi kuwa jambo jipya!

Hadi Hapo unasema je ndugu?
 
Ni ukweli usiopingika hawa hawawezi kutusaidia:

View attachment 3099266

Hezbollah Lebanon analia kilio cha mbwa koko kwa kuzidiwa vilivyo Teknolojia.

Scotland yard wamewahi kutimba hapa ilipokuwa lazima.

Si hapa tu, usaidizi panapo dharura na nia haujawahi kuwa jambo jipya!

Hadi Hapo unasema ke ndugu?
Phone hacking scandal investigations worlwide were the failure of "your Scotland yard".....

Acha kukariri....jamaa wana mapungufu pia na si malaika.....
 
Phone hacking scandal investigations worlwide were the failure of "your Scotland yard".....

Acha kukariri....jamaa wana mapungufu pia na si malaika.....

Scotland yard utawalinganisha na hao wanaopata zero Std III D?

Wacha kujipa moyo ndugu.

Yako wapi majibu ya uchunguzi wowote?

Au ki Mulah Mulah kifo ni kifo tu ndugu, kwamba nacho hupangwa na Mungu?
 
Scotland yard utawalinganisha na hao wanaopata zero Std III D?

Wacha kujipa moyo ndugu.

Yako wapi majibu ya uchunguzi wowote?

Au ki Mulah Mulah kifo ni kifo tu ndugu nacho hupangwa na Mungu?
Wapi nimewafananisha na hao unaowadogosha ?!!

Nilichosisitiza ni kuwa SY si malaika....wana shortcomings nyingi tu.....nyingine za *international lobbyings hasa corporate entities"....fungua fikra zaidi.....
 
Huyu Kiongozi ana shida ya kutaja miaka Mfano. Alisema sasa hivi ni 2020, anasema Mfumo wa vyama vingi ulianza 2012...

Wanaitwa vipenyo hao - "Penetration Officers."

Pande za kwetu hicho ni cheo rasmi cha mtumishi wa umma.
 
Wapi nimewafananisha na hao unaowadogosha ?!!

Nilichosisitiza ni kuwa SY si malaika....wana shortcomings nyingi tu.....nyingine za *international lobbyings hasa corporate entities"....fungua fikra zaidi.....

Wapi niliposema hao ni malaika.

Nilichosema miye hao wa kwako humo hata walio poorer kuliko darasa la III Kayumba pale wamo!

Kwa makasiriko yako vipi, kwani wewe ni mmoja wao?
 
Tanzania hakuan Rais asiyekuwa na Damu mikononi mwake .... Hii system ys China, Rusia, Cuba Venezuela na North Korea itapeleka viongozi wetu wengi MOTONI........!!

Hudhani JKN, JMK walikuwa na uso wa kibinadamu zaidi?
 
Wapi niliposema hao ni malaika.

Nilichosema miye hao wa kwako humo hata walio poorer kuliko darasa la III Kayumba pale wamo!

Kwa makasiriko yako vipi, kwani wewe ni mmoja wao?
Hakuna kitengo cha serikali kinachodili na "analysis" na forensic kikawa na "vilaza-academic failures"....

Brazaj unakwama wapi ?!! 🤣
 
Tanzania hakuan Rais asiyekuwa na Damu mikononi mwake .... Hii system ys China, Rusia, Cuba Venezuela na North Korea itapeleka viongozi wetu wengi MOTONI........!!
Motoni wapi ?!!

Mwenyezi Mungu hapendi "hiliki ya jamii "...

Viongozi wanalinda maslahi ya nchi kwa njia yoyote ile....wewe vipi ?!! 🤣
 
Hakuna kitengo cha serikali kinachodili na "analysis" na forensic kikawa na "vilaza-academic failures"....

Brazaj unakwama wapi ?!! 🤣

Mkuu unadhani wasiojulikana hawajulikani au hata hawajuani?

Kwani taarifa za uchunguzi upi ziko wapi?

Hivi unaelewa hata uchunguzi huru una maana gani?

Mkunazi Njiwa unakwama wapi?!!
 
Back
Top Bottom