- Thread starter
- #21
Katibu wa DP ni mzalendo na mwanasiasa haswa....
Hawa ndio wanaojua heshima na utu Siasani.....
Hawa ndio wanaopongeza pale panapohitaji kupongeza.....
Ameunga mkono kauli ya mh.Rais juu ya TAHARUKI inayoendelea nchini......kosa lake liwapi ?!!
Wewe humwungi mkono mh.Rais juu ya kauli yake na amri yake ya kuyachunguza haya yanayotusibu hapa nchini ?!!
Kwani wewe hutaki kuwajua watekaji wakapate kuwajibishwa?
Kama kwa miaka yote hawajawahi kupatikana hudhani uchunguzi huru ndiyo iliyokuwa njia pekee ya kwenda ili kuwafahamu?