Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Bora ya mh.Mbowe kutaka kuwepo TUME YA KIJAJI....na si hao SY.....Mkuu unadhani wasiojulikana hawajulikani au hata hawajuani?
Kwani taarifa za uchunguzi upi ziko wapi?
Hivi unaelewa hata uchunguzi huru una maana gani?
Mkunazi Njiwa unakwama wapi?!!
Unadhani ni polisi pekee watakaochunguza kadhia hizi ?!!
Rejea hotuba ya mh.Rais kuvitaka "vyombo" kuchunguza.....
Unatelezea wapi mkuu wangu ?!!