Swali kwa Great Thinkers tu. Kama shetani ni baba wa uongo, kwanini kashindwa ku fake miujiza hii?

Swali kwa Great Thinkers tu. Kama shetani ni baba wa uongo, kwanini kashindwa ku fake miujiza hii?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Shetani anatajwa kwenye maandishi matakatifu kuwa ni baba wa uongo, na tumeamini hivyo, lakini kuna vtu ambavyo shetani na makuwadi wake wa soķo huria wakiwemo manabii feki, wachungaji feki, mashehe wa mchongo, waganga na wachawi hawajawahi kuiiga.

1. Bikira kupata mimba bila mwanaume
2. Kumponya kipofu kwa kumpaka mate
3. Samaki wawili na mikate mitano kulisha watu elfu moja
4. Kugeuza maji kuwa divai
5. Kufufua wafu
6. Kumfanya samaki atoe hela

Na mingine mingi shetani baba wa uwongo ameshindwa kutengeneza feki yake
 
Aahaaaaa, unataka watu wakimbiwe makanisani enhe!?

Nakumbuka mwaka 2011 pale Singida General Hospital Kuna Mchungaji mmoja alilala amevimbiwa na makande yake akaota eti Bwana kamwagiza kwenda kufufua wafu pale hospitali I

Basi akawazoa mazombi wake wa kanisani ,akawafungisha njaa Ili waombe wiki nzima,eti wakienda kuombea hizo maaiti zizinduke,aahaaaa
Waliomba mpaka makoao yakakauka,piga kelele toka asubuhi hadi jioni patupu

Ikabidi wale mortuary attendants kuwafukuza Ili kuwafichia aibu,ahaaaaa
 
Aahaaaaa, unataka watu wakimbiwe makanisani enhe!?

Nakumbuka mwaka 2011 pale Singida General Hospital Kuna Mchungaji mmoja alilala amevimbiwa na makande yake akaota eti Bwana kamwagiza kwenda kufufua wafu pale hospitali I

Basi akawazoea maombi wake wa kanisani p,akawafungisha njaa Ili waombe wiki nzima,eti wakienda kuombea hizo maaiti zizinduke,aahaaaa
Waliomba mpaka makoao yakakauka,piga kelele toka asubuhi hadi jioni patupu

Ikabidi wale mortuary attendants kuwafukuza Ili kuwafichia aibu,ahaaaaa
Enock Mwanyonga, alishawahi kufanya hii issue miaka ya 80 kule Mbeya, hadi leo naikumbuka ile nishai
 
bujibuji unaniangusha.

kwa mujibu wa maandiko shetani ana uwezo mkubwa tu.
wakati ambao tumetaadhalishwa juu ya uwezo wake wa kudanganya watu ni nyakati za mwisho.

atajidhihirisha katika miujiza ya aina mbali mbali,lakini tunatakiwa kushika tulichoachiwa na Yesu,imani ya kweli kwa Mungu.rejea jangwani Yesu akitoka kufunga siku 40.

shida ni kwamba huyu mwamba watu wanamchukulia poa,na kizazi hiki cha mafuta ya mwamposa,ana uhakika wa kusepa na kijiji cha kutosha ukiacha mtaji wa watu 1.9 bilion ambao anao mkononi tayari.
 
Back
Top Bottom