The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Kwa watu wenye akili timamu huwa tunatafuta source ni nani aliyemharibu binti huyu ambaye labda angepata muongozo mzuri saa hizi angekuwa anahitimu degree ya pili?View attachment 630726Kugonga demu aliyekosa malezi anayeweza kupiga picha za namna hii hata akiwa na miaka 12 ni haki kabisa
Wakati watu wanaseme embe bado libichi jamaa kala na chumvi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377]Kwa watu wenye akili timamu huwa tunatafuta source ni nani aliyemharibu binti huyu ambaye labda angepata muongozo mzuri saa hizi angekuwa anahitimu degree ya pili?
Kwa akili yako kubwa unadhani ni nani alipaswa kuwa mlezi wa Lulu?
View attachment 630741View attachment 630742
Usitegemee wenye Team zao na waliodhurumiana mabwana huko mitaani kama wataelewa maneno mazito na yaliyoshiba hoja uliyoyaandika hapa.Lulu huenda akawa na matatizo yake kama binadamu wengine na simtetei kwa yaliyompata.
Najaribu kuangalia mazingira aliyopitia hasa kwenye tasnia ya uigizaji. Naweza kusema alikuzwa na kuwa mtu mzima kabla ya wakati wake. Kuna haja ya kuangalia upya ushiriki wa watoto kwenye haya mambo ili yasiwaathiri.
Wasanii wengi wanajikuta kwenye madawa sio kwa hiari, kuna kipindi wana fanyia shooting mazingira ambayo kiuhalisia hawawezi kumudu wala kumiliki, inawaachia stress na kuamua kujifariji kwa madawa
Na akina screpa wanashau kwamba, watu hatujihusishi mapenzi na vischana vidogo si kwa sababu vinatukataa baada ya kupata malezi bora ya wazazi wao bali hatufanyi huo ujinga kwa sababu tunafahamu sisi ni watu wazima na katu hatutakiwi kuvirubuni vibinti vidogo zaidi ya kuvipigania.Kwa watu wenye akili timamu huwa tunatafuta source ni nani aliyemharibu binti huyu ambaye labda angepata muongozo mzuri saa hizi angekuwa anahitimu degree ya pili?
Kwa akili yako kubwa unadhani ni nani alipaswa kuwa mlezi wa Lulu?
View attachment 630741View attachment 630742
Kwani aliyeshtakiwa ni Marehemu Kanumba au Lulu?ukitoa jibu utaelewa ulichokipostWanajamvi,
Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth Michael.
Moral question kwa mama Kanumba je mtoto wake Steven Kanumba alikua anatenda haki kwa kuwa na mahusiano na Elizabeth Michael?
Kanumba ni exis of evil.Wakati watu wanaseme embe bado libichi jamaa kala na chumvi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377]
Kwa sasa hatuna cha kujadili mkuu apumzike tu kwa amani...ila jamii ijifunze!Kanumba ni exis of evil.
Umeongea kitu sahihi sana mkuu, kimsingi huyu mtoto alikua anashiwishiwa na mazee kufanya uchafu,pia wazazi wa Lulu hawakwepi lawama kwa makuzi ya mtoto wao,walimuacha ajiongoze wakati ni mtoto mdogo, inasikitisha Sana.Kwa watu wenye akili timamu huwa tunatafuta source ni nani aliyemharibu binti huyu ambaye labda angepata muongozo mzuri saa hizi angekuwa anahitimu degree ya pili?
Kwa akili yako kubwa unadhani ni nani alipaswa kuwa mlezi wa Lulu?
View attachment 630741View attachment 630742
Big up mkuu, wacheck ushiriki wa watoto kwenye haya ma filamu yao hata music pia.Lulu huenda akawa na matatizo yake kama binadamu wengine na simtetei kwa yaliyompata.
Najaribu kuangalia mazingira aliyopitia hasa kwenye tasnia ya uigizaji. Naweza kusema alikuzwa na kuwa mtu mzima kabla ya wakati wake. Kuna haja ya kuangalia upya ushiriki wa watoto kwenye haya mambo ili yasiwaathiri.
Wasanii wengi wanajikuta kwenye madawa sio kwa hiari, kuna kipindi wana fanyia shooting mazingira ambayo kiuhalisia hawawezi kumudu wala kumiliki, inawaachia stress na kuamua kujifariji kwa madawa
Mkuu huna picha aliyogeukia huku ili nione vizuri kishungi chake kilivyokuwa kipindi kile[emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13]View attachment 630726Kugonga demu aliyekosa malezi anayeweza kupiga picha za namna hii hata akiwa na miaka 12 ni haki kabisa
Big up mkuu, wacheck ushiriki wa watoto kwenye haya ma filamu yao hata music pia.