Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Lulu kipindi anagongwa na Marehemu alikuwa katimiza miaka 18 ...kumbuka zile kashfa za kumzuia kuingia kwenye kumbi za starehe na majibu ya mama yake kipindi kile ....Wanajamvi,
Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth Michael.
Moral question kwa mama Kanumba je mtoto wake Steven Kanumba alikua anatenda haki kwa kuwa na mahusiano na Elizabeth Michael?
Hizo picha mnazotutumia ni Lulu akiwa analishwa vyema tayari kwa kuanza kuvunwa