Swali kwa Mama Kanumba!

Swali kwa Mama Kanumba!

Yeye Mama kanumba kasema mahakama imetenda haki kwa hukumu iliyotolewa wala hajaongelea swala la uhusiano wa Kanumba na lulu
Halafu kuhusu lulu kuwa mtoto Hakimu alisema hivi nanukuu
"
Kuhusiana na umri mdogo wa Lulu wakati tukio hilo linatokea mwaka 2012, Jaji Rumanyika amesema sheria ya kumlinda mtoto haimpi kinga Lulu kwa sababu huo alikuwa akifanya mambo ya watu wazima."

Sijajua kisheria hii kauli kwamba alikua mtoto lakini anafanya mambo ya watu wazima imemaanisha nini?

Kinachoamua utoto wa mtu ni matendo au umri? Hapo tunaangalia kwa upande wa kisheria. Mtu mzima anaweza kufanya mambo ya kitoto akaepushiwa hukumu kwamba ni mtoto licha ya umri wake?
 
Wanajamvi,

Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth Michael.

Moral question kwa mama Kanumba je mtoto wake Steven Kanumba alikua anatenda haki kwa kuwa na mahusiano na Elizabeth Michael?
Elizabeth alikuwa na nyege zimemponza.
 
Na akina screpa wanashau kwamba, watu hatujihusishi mapenzi na vischana vidogo si kwa sababu vinatukataa baada ya kupata malezi bora ya wazazi wao bali hatufanyi huo ujinga kwa sababu tunafahamu sisi ni watu wazima na katu hatutakiwi kuvirubuni vibinti vidogo zaidi ya kuvipigania.
You are in a Million - Heshima kwako Mkuu!!! Na ndio maana kuna mababa, au ndugu wa kiume wanaobaka hata kulawiti watoto wa kwenye familia zao 😡😡😡😡😡
 
Jaji kamaliza kila kitu bana sema sina nukuu yake hapa. Kama lulu alikua mtoto saa sita usiku kwa mwanaume na miadi ya club aliwezaje kuipanga. Je gari linaweza kuendeshwa na mtoto? Hakuna ubakaji hapo. Kilanga cha kukimbilia dyu dyu mapema kimemponza lulu
Basi hata huyo aliyekufa naye kafa kwa kilanga chake cha kutembea na mabaunsa. Shida za kimaisha zinawaponza wengi...Lulu naye ana mama vile vile
 
Lulu huenda akawa na matatizo yake kama binadamu wengine na simtetei kwa yaliyompata.
Najaribu kuangalia mazingira aliyopitia hasa kwenye tasnia ya uigizaji. Naweza kusema alikuzwa na kuwa mtu mzima kabla ya wakati wake. Kuna haja ya kuangalia upya ushiriki wa watoto kwenye haya mambo ili yasiwaathiri.

Wasanii wengi wanajikuta kwenye madawa sio kwa hiari, kuna kipindi wana fanyia shooting mazingira ambayo kiuhalisia hawawezi kumudu wala kumiliki, inawaachia stress na kuamua kujifariji kwa madawa
Jaji kwenye kesi ya Lulu amemuhukumu nyoka aliyetengenezwa na wazazi wake, Kanumba na sekta nzima ya filamu na muziki nchini Tanzania, ambayo kwa hakika inatumia mtindo ule ule wa Hollywood na Bollywood wa kuwanajisi na kuwachambwaga chambwaga mastaa wake kabla hawajakwea hizo ngazi za ustaa. Namlilia Mwajuma wa kwenye nyimbo yetu ya utotoni.
 
She is alive and health. After two years she will have kids (may Allah bless her) and grand children. What about the other.
He is dead and long forgotten,and maybe enjoying eternal life,who knows?kosa lake kwa mungu wake sio moja,ana wema wake naye.Lulu hakusikia la mkuu sasa amevunjika guu.Beleve me namuhurumia sana lakini sisi huwa tunatafuta matatizo sana na hatusikii.Lulu alikuwa hasikii,ukiangalia record yake ya kashafa zangono utashagaa kama ana wazazi au hana.
 
Wanajamvi,

Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth Michael.

Moral question kwa mama Kanumba je mtoto wake Steven Kanumba alikua anatenda haki kwa kuwa na mahusiano na Elizabeth Michael?
Wazazi wake wakuwa wapi kumruhusu mtoto mdogo kutangatanga....hivi lulu amemaliza kidato cha NNE!?akiwa na umri gani
 
Mambo unayofanya mtoto wako hukumu hupewi wewe sio Duniani hata mbinguni.
 
Wanajamvi,

Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth Michael.

Moral question kwa mama Kanumba je mtoto wake Steven Kanumba alikua anatenda haki kwa kuwa na mahusiano na Elizabeth Michael?
Kwa niaba ya mama Kanumba naomba kukuulizwa swali! Kanumba alimbaka Lulu? Je, alikuwa ashalala nae? Una uhakika hakuwa 18+ ?
 
Ila Lulu naye alijitafutia matatizo mwenyewe, alifanya birthday party ya kutimiza miaka 18 mwaka 2011 kabla hata ya kuwa na Kanumba.
Alikuwa ana Leseni ya gari na alikiwa anaendesha
Sasa hapo marehemu kosa lake nini?!
Inawezekana marehemu hadi anafariki alikiwa anajua Lulu ana miaka 18
Maana watu wamekuja kujua Lulu alikuwa mdogo baada ya matatizo.
Marehemu naye alidanganywa na Lulu.
Maana kwenye mapenzi hakuna kuulizana vyeti vya kuzaliwa.
Inawezekana mpenzi wako uliyenaye sasa amekudanganya umri na hujui.
 
wazazi wa lulu ni wa kulaumiwa sana kwa yaliyotokea na kumfikisha binti yao hapa alipofikia, Lulu alikosa malezi instead akawa kama mzazi badala ya mtoto, imagine alianza kutegemewa na familia akiwa bado yuko shule kisa tu amekuwa muigizaji na tunajua kwenye huo uigizaji enzi hizo hakuna hela ya maana aliyokuwa anapata ikabidi mtoto aanze kutoka na mibaba ya kumpa hela na mama yake akawa kimya tu alimradi mkono unaenda kinywani, cha ajabu na kusikitisha zaidi mama lulu umri ulikuwa bado kabisa, na nguvu alikuwa anazo sio mlemavu wala si mzee wa kushindwa kufanya kazi, nashangaa ilikuaje akaamua kumfanya mtoto wake kitega uchumi na hajabadilika wala kujifunza mpaka leo lulu ndo kila kitu kwa familia anakuwa hadi na waume za watu mfano yule seki lakini mama mtu anaona poa tu cha msingi hela inaingia wanaishi kistaa, jamani alafu leo hii analia, analia nini sasa?
 
Wanajamvi,

Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth Michael.

Moral question kwa mama Kanumba je mtoto wake Steven Kanumba alikua anatenda haki kwa kuwa na mahusiano na Elizabeth Michael?
Kesi iliyokuwa mahakamani si ya kuwa na mahusiano ilikuwa ya mauaji! Subiri amalize kifungo chake kisha umshauri amfungulie kanumba kesi ya kuwa na mahusiano naye!
 
Wanajamvi,

Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth Michael.

Moral question kwa mama Kanumba je mtoto wake Steven Kanumba alikua anatenda haki kwa kuwa na mahusiano na Elizabeth Michael?
Dah....hizi ishu mbili tofauti...umejichanganya[emoji87]
 
Back
Top Bottom