Swali kwa Mama Kanumba!

Lulu kipindi anagongwa na Marehemu alikuwa katimiza miaka 18 ...kumbuka zile kashfa za kumzuia kuingia kwenye kumbi za starehe na majibu ya mama yake kipindi kile ....

Hizo picha mnazotutumia ni Lulu akiwa analishwa vyema tayari kwa kuanza kuvunwa
 
Alafu itakuwa ni jambo la kheri kama mkisoma Judgment ya hii kesi ....maana Mahakama imegoma mtambua kama mtoto kwa kuzingatia matendo yake
 
Unaweza kukuta marehem alikuwa na kibamia wala hakumwaribu huyu binti
 
Really? Seriously?

 
Mbona mwaka huo alikua na miaka 19? Was she young? Kuna thread moja ilipostiwa humu inayothibitisha kwamba Lulu alikua na miaka 18 mwaka 2011 akihojiwa na zamaradi ktk take one.
Sasa where is that childish?
 
Mbona mwaka huo alikua na miaka 19? Was she young? Kuna thread moja ilipostiwa humu inayothibitisha kwamba Lulu alikua na miaka 18 mwaka 2011 akihojiwa na zamaradi ktk take one.
Sasa where is that childish?
Yes ipo hiyo clip...

Mwenyewe anathibitisha kuwa na 19 yrs

So mwakani Lulu anatimiza 25...na huo ndo uhalisia wa umri wake
 
Alikuwa anafanya au anafanyishwa?
 
Umeandika sahihi...lulu mpaka kesho n8 tegemeo la familia. Anamsomesha mdogo wake na matumizi ya nyumbani.yeye ndo mama ndo baba.mzazi atasema nini? Watu wamesahau alipotoka garezani alitembea na mume wa mtu na huku akijua ni mume wa mtu(japo hata mwanaume alikua na kosa).lulu alionywa na kuombwa na mke wa marehemu lakini alimjibu mbovu na kebehi kibao.sasa huyu lulu aonewe huruma mara ngap wakatii hajifunzi?..atatoka huko yes.....ila atafanya the same mistakes kwa kua anapenda kuishi maisha tofauti na kazi yake.
 
Kanumba was right, What do you do when a whore comes to you?
 
Lulu aliehukumiwa jana sio yule alieuwa miaka ile, hii ni kwa sababu leo anaonekana mkubwa kimaumbile japo na kiumri kidogo, kanumba hakufanya kitu cha ubusara kabsa kumuaproach lulu kwa kipindi kile kumuhusisha kwenye mambo ya wakubwa.

Ukizama ndani zaid utasema sio kosa la kanumba maana aliachiwa uhuru kabsa kwa mtoto lulu, lakini je! Tuseme ingekuwa ni mtoto wake wa kumzaa hata angepewa uhuru wa kulala nae(lulu) chumba kimoja angediriki kufanya alioyafanya kwa lulu?

Kanumba alikosea na kosa litabaki pale pale japo ametangulia mbele za haki.

Kuhusu hukumu iliotendeka jana ni ya haki japo tunapaswa kumuonea huruma lulu maana haya anayopitia ni kutokana na huyo marehemu kanumba, laiti isingekuwa yeye now lulu tungemsikia kwa vingine na sio visa hivi.

All in all Mungu ailaze mahala pema roho ya kanumba pia ampe ujasiri lulu kwa kipindi hiki kigumu kwake.
 
Huwa hawasemi ukweli mkuu cha msingi umtafune naye haja yake hatimize period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…