Swali kwa Mliooa wanawake wenye watoto

Swali kwa Mliooa wanawake wenye watoto

Dah πŸ˜‚πŸ˜‚.........ukweli ni kuwa roho hubaki kwa mtu wa kwanza aliemzalisha ni mwili tu ndio unaohama
 
Kinachofurahisha wengi wanaoponda singo Maza husahau mama zao... Fatilia vuzuri, chunguza mtaani kwenu kwanza wangapi mama zao waliolewa bikra au wakiwa hawana watoto.
 
Hiyo haijalishi....unanunuaje shamba lenye mgogoro?
Kinachofurahisha wengi wanaoponda singo Maza husahau mama zao... Fatilia vuzuri, chunguza mtaani kwenu kwanza wangapi mama zao waliolewa bikra au wakiwa hawana watoto.
 
Back
Top Bottom