Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,119
- 4,779
Kwa nyakati tofauti nimepata kuendesha hizi gari mbili. Harrier na MarkX. Harrier nnayoizungumzia hapa ni tako la nyani yenye engine ya 2AZ na CC 2400. Na mark X nnayoizungumzia hapa ni 250G yenye engine yenye code GRX. Kilichonileta hapa niulaji wa mafuta wa hizi engine mbili.
Kitaka uchunguzi wangu kupitia uendeshaji wa magari haya, nimeona harrier yeny 2AZ inakula mafuta sana kulinganisha na MarkX yenye GRX ilhali mark X ni ina CC kubwa kuliko Harrier. Mark x iliweza kunipa range mpka ya 8Km per liter kwa town trips huku harrier best range niliyopata ni 6.5 km per liter.
Wataalamu nini kinasababisha hili, ukizingatia GRX ni V6 yenye 6 Cylinder huku 2AZ ni VVTi yenye 4 cylinders. Perfomance ya 2AZ pia niliinote kwenye Vanguard na Rav4 na mwote range ni hiyohiyo.
Kitaka uchunguzi wangu kupitia uendeshaji wa magari haya, nimeona harrier yeny 2AZ inakula mafuta sana kulinganisha na MarkX yenye GRX ilhali mark X ni ina CC kubwa kuliko Harrier. Mark x iliweza kunipa range mpka ya 8Km per liter kwa town trips huku harrier best range niliyopata ni 6.5 km per liter.
Wataalamu nini kinasababisha hili, ukizingatia GRX ni V6 yenye 6 Cylinder huku 2AZ ni VVTi yenye 4 cylinders. Perfomance ya 2AZ pia niliinote kwenye Vanguard na Rav4 na mwote range ni hiyohiyo.