Ulikuwa una lala nae? Sio kila jambo ujifanye unajua, mambo mengine kaa kimya tuNjia gani ya kujikinga? distancing alikuwa hafanyi, mikona alikuwa akipeana na watu kama kawaida hadi kukubatiana huku akiwa anazongwa na watu kila kona!
Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa...
Kwa hiyo Lisu alikuwa akifanya kusudi akiwa Tanzania ili aambukizwe corona? Mbona hakuambukizwa sasa kama ipo? Ukimwi upo ukivunja masharti unakuvaa je Lisu mbona pamoja na kuvunja masharti ya kujikinga na Corona mbona haikumpata ingekuwepo si angekiona cha mtema kuniUnachanganya kati ya uwepo wa ugonjwa na kuchukua tahadhari ya ugonjwa. Wote sisi tunajua kuwa ukimwi upo, je ni wangapi wanavaa kondomu kwakuwa ukimwi upo? Usidhani watu wanaovuta sigara kuwa hawajui inaleta cancer.
Muulize Maalim Seif alipata wapi na hajakwenda nje ya nchi kupata chanjo na kurudi nayo.Kwani YEHODAYA . Corona (Covid 19) haipo Tanzania? Kwani aibu ya nini na Corona haijaanzia Tz?!
Tundu ndiyo unaemuona? Waulize viongozi wenye dhamana wamewaandaa wananchi namna gani.
Waulize wengine waliofanya dhihaka na Corona, leo wanajuta.
Kwani iliisha lini Tanzania ?!Muulize Maalim Seif alipata wapi na hajakwenda nje ya nchi kupata chanjo na kurudi nayo.
Ila hilo sio jibu mkuu,ina maana kama kuna watu wanaona corona ni uzushi tu katika hizo nchi ndio tuwatumie hao na sisi kusema hakuna corona?Swali la kitoto, mbona huko kwenye Korona inayoua watu 1,000 kwa siku baadhi ya watu hawavai barakoa.
Fikiri kabla haujaandika, usiandike kwa sababu tu unamchukia mhusika.
Korona ilikuwepo kidogo tu wakati ule.Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa..
ukiwaskiliza sana hawa upinzani unaweza kua na akili kama zao, naskia wanasema tanzania kuna corona na wanaita watu kwenye kampeni, hizi ndo akili za ufipa bana!Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa...
Huko huko Muhimbili kuingia wodini kuona wagonjwa kuna zuio kubwa sabb ya covid19.Natoka Muhimbili JKCI sasa hivi hakuna kuingia kumuona daktari kama hujavaa barakoa na wateja wamepungua sana kwa kuogopa maambukizi.
Jitu linaropoka eti hakuna Corona ilihali hana research,facts wala figures.
Kama corona haipo, kwa nini majuzi jiwe na waziri wake walitoa wito kwa watz wote kupiga NYUNGU kwa siku 7 ?!!!Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?
Kwa hiyo Lisu alikuwa akifanya kusudi akiwa Tanzania ili aambukizwe corona? Mbona hakuambukizwa sasa kama ipo? Ukimwi upo ukivunja masharti unakuvaa je Lisu mbona pamoja na kuvunja masharti ya kujikinga na Corona mbona haikumpata ingekuwepo si angekiona cha mtema kuni
Si suala la kwenda na mimi au nani hoja hapa ni kwamba swali lililoulizwa ni la msingi na nimeeleza kwanini hilo swali ni la msingi,sasa kama kuna mtu anaona si swali la msingi aeleze ni kwanini anaona si swali si la msingi lakini huwezi kuniambia kwamba umewafuata watu fulani ambao wamesema si swali la msingi bila kutoa maelezo.Kila mtu humu kwa judgement zao wameona ni swali la kijinga
Naenda nao,siwezi kwenda na wewe
Hapo ni ndani ya ukumbi, kwani bungeni ni ukumbini peke yake?bungeni hawajavaa barakoa bunge hilo hapo
Ilipunguaje hiyo corona hapa Tz mkuu au ndio yale maombi? mimi hili jambo la Corona kupungua linanitatiza sana.Corona ilikuwepo ikapungua sana tu kama ikapotea sababu ya heard immunity hii ni second wave kutoa SA mdudu kajigeuza ipo sana temebelea Hosp ndio utajuwa hali sio shwari. wewe hujiulizi kwanini viongozi wanatumia nguvu sana kukana. jana katibu kafanya ziara yeye anaonesha havai barakoa watumishi wote barakoa sababu wanaona wagonjwa daily wanajuwa hatari mbele yao. Ipo sana tuombe Mungu hii nalo lipite kama la kwanza lakini sio kukataa hakuna.
Hata kama ilikuwepo kidogo kama unavyodai mkuu ina maana ndio ilikuwa sahihi watu kukusanyana vile bila tahadhari zozote kipindi cha kampeni? kilichofanyika si ndio kuongeza maambukizi.Korona ilikuwepo kidogo tu wakati ule.
But sasa imerudi kwa nguvu zote na watu wanakufa left right and centre goddamn it!!
Maalimu Seif anaumwa nini tuanzie hapoTundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.
Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.
Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?
Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.