M
Mbona husemi ukimwi wala kansa na maleria, hayo yote wewe hujaguswa nayo umeona corina tu?
Hata hao wazungu kwa sasa hawatagazi idadi ya waokufa kika siku unadhani ni kwa nini?
Jitambue ndugu.
Ukimwi unawafyeka kila siku humu lakini kwa kuwa ugonjwa hauwahusu wazungu wala hamjapiga kerere.