Well saidMaridhiano ilikuwa , maiti ina nguvu kuliko Sisi CCM na ina nguvu kuliko nyie Chadema , inabidi tuunngane kupambana nayo
Ningependa kuwa karibisha wafuasi wote wa siasa za upinzani hapa nchini katika hili swali langu fupi kwa majibu yao.
SWALI:
Tatizo sugu la wapinzani wa hapa nchini je ni Magufuli na utawala wake wa awamu iliyo pita [ awamu ya tano ] au tatizo ni CCM yote ?
KARIBUNI
Ningependa kuwa karibisha wafuasi wote wa siasa za upinzani hapa nchini katika hili swali langu fupi kwa majibu yao.
SWALI:
Tatizo sugu la wapinzani wa hapa nchini je ni Magufuli na utawala wake wa awamu iliyo pita [ awamu ya tano ] au tatizo ni CCM yote ?
KARIBUNI
Kwenye swali umeona nime izungumzia Chadema hapo ? tubaki kwenye msingi wa swali karibu kwa majibu yako tena.Hivi kwa mfano nikuulize Ole sabaya kafungwa na chadema? Leo mnyeti kapandishwa kizimbani Chadema ina serikali? Kwanini mnapenda kuihusisha Chadema kwenye matendo maovu yaliyofanywa na utawala wa awamu ya 5 chini ya Marehemu magufuli aliyekuwa mwenyekiti wa CCM?