Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Nani kasema???????
Yaani kaka ni kuchanganya na za kuambiwa hapo au la unalala nje na watakucheka hawa hawa kina Karucee, msweet na Cyan6 tena kwa kejeli kuwa unadhani urefu na rangi ndiyo inatunza mwanamke mjini hapa!!!!!????


Mkuu OLESAIDIMU basi ya Mungu mengi ngoja niuone maana kwenye smafara wa mamba na kenge wapo, mgaa gaa na upwa hali wali mkavu.....sasa basi Karucee hebu mtafute Lady doctor kwanza niwaambie kitu
 
Last edited by a moderator:
C'mon!!!!, now I can understand the reason for why my wife loves me that much lol!!. Thanks God kwa kuniumba jinsi nilivyo na umuongezee mke wangu mapenzi zaidi juu yangu.
 
C'mon!!!!, now I can understand the reason for why my wife loves me that much lol!!. Thanks God kwa kuniumba jinsi nilivyo na umuongezee mke wangu mapenzi zaidi juu yangu.

Nakumbuka tukio moja nikiwa bado jank,kuna jamaa wa mtaani kwetu alimshka mke wake ugoni,kisha akamuachia mgoni wake na akamsamehe mke wake,watu wakamuuliza kwa nini kafanya hivyo akajibu mke wake anajua kuchagua,katembea na mwanaume mrefu kama yeye kwa hiyo hata kama watazaa mtoto bado atakua anaonekana ni wa ile familia,jamaa akasema kama angekuta jamaa(mgoni wake)ni mfupi angewauwa wote.
 

Jamaa alikuwa mchina nini? Manake nasikia wachina hawana wivu. Unakuta nyumba moja wachina 9 wanawake 2 tu, they share.
 
Utamu wake tunaujua sie, hata nikijaribu kukuelezea hutanielewa, ukiongozana nae, akiwa anacheka, mkiwa mmekaa nnatazamana, raha iliyojee

yule aliokucrash vp alikuwa mrefue! Dah kweli wanawake hamjui mnataka nini kutoka kwa mwanaume, siku nyengine mwasema pesa mara mgegedo mkubwa, mara urefu, mara weupe! kaaazi kweeli kweli!!!!!!!!
 
Ndio maana!mi kila nikiamia nyumba ngeni,mtaani nawaona kabisa wanakuja mkaka sasa nimewakwepa 30.WENGINE UNAONGEA NAYE TU ANAJIONGEZA kama kukuonea aibu ya uwongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…