Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Teheeee tena ukute kifua kimepanuka na ametililia kauzi ka mbaaaali na hajavaa shati... mie ni kwenda kujipumzisha kifuani tu huku nigugumia rohoni mamma miiiiaaaa.. ..! Hii kitu weka mbali na watoto!

Aisee....... huu ugonjwa utatuua!
 
JIBU KUTOKA KWA WAKAKA-----((WEUSI:eyebrows🙂)
mkuu, i dont mean to brag but personally mnyakyusa, mweusi, afu mrefu kudadeki ka mnyamwanga..
navutia kakwelii,,,nothing i would like to change on me.....except mybank balance..lol
 
Nani kasema???????
Yaani kaka ni kuchanganya na za kuambiwa hapo au la unalala nje na watakucheka hawa hawa kina Karucee, msweet na Cyan6 tena kwa kejeli kuwa unadhani urefu na rangi ndiyo inatunza mwanamke mjini hapa!!!!!????

Umeonaeee? Changanya na zako!
 
Last edited by a moderator:
C'mon!!!!, now I can understand the reason for why my wife loves me that much lol!!. Thanks God kwa kuniumba jinsi nilivyo na umuongezee mke wangu mapenzi zaidi juu yangu.

Huko kwenu kama kuna wakaka kama wewe jamani tuambizane! Hongera kwa Dada yangu!
 
yule aliokucrash vp alikuwa mrefue! Dah kweli wanawake hamjui mnataka nini kutoka kwa mwanaume, siku nyengine mwasema pesa mara mgegedo mkubwa, mara urefu, mara weupe! kaaazi kweeli kweli!!!!!!!!

Kaka yangu vyoote hivyo tunavitamani, lakini ni ngumu kuvipata kwa mwanaume mmoja! Tueleweni tu yaani! Pole kama tastes zetu zimekukwaza Mkuu!
 
Siri ya mtungi aijuae kata, warefu weusi ndio kila kitu. Tuulizeni sie tulio na hizo species

Hata jamaa akiona nina ukaribu na mtu wa hivyo anakosa amani kidogo
 
Back
Top Bottom