Teheeee tena ukute kifua kimepanuka na ametililia kauzi ka mbaaaali na hajavaa shati... mie ni kwenda kujipumzisha kifuani tu huku nigugumia rohoni mamma miiiiaaaa.. ..! Hii kitu weka mbali na watoto!
Aisee....... huu ugonjwa utatuua!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teheeee tena ukute kifua kimepanuka na ametililia kauzi ka mbaaaali na hajavaa shati... mie ni kwenda kujipumzisha kifuani tu huku nigugumia rohoni mamma miiiiaaaa.. ..! Hii kitu weka mbali na watoto!
haya..... Husninyo, Cyan6, Karucee, Heaven on Earth, Ennie, OLESAIDIMU....hebu mnambie hapa kuna diskasheni gani na kama nafit kuwepo kwenye mjadala.....kama sio, niende zangu kwenye magari.:juggle:
Kumbe tupo wengi? Lols. Basi ni janga la kitaifa. hahahaha
eeh bwana tusiseme taste zetu?
Nyie mkisema mbona si tunaona sawa?
Tall dark men, we love youuuuuu.
C'mon!!!!, now I can understand the reason for why my wife loves me that much lol!!. Thanks God kwa kuniumba jinsi nilivyo na umuongezee mke wangu mapenzi zaidi juu yangu.
utahimili lakini?? mambo ya kuja kuliliwa ati mi mtoto! siwezi ati..! sain kwanza kwamba huogopi chochote wala lolote..!Jamani sipajui njoo basi nichukue twende wote!
Ni watamu ,,, wanajua kukuna
Penda sana <3
yule aliokucrash vp alikuwa mrefue! Dah kweli wanawake hamjui mnataka nini kutoka kwa mwanaume, siku nyengine mwasema pesa mara mgegedo mkubwa, mara urefu, mara weupe! kaaazi kweeli kweli!!!!!!!!
Hapo kwa kukuna am not sure I agree with you.
utahimili lakini?? mambo ya kuja kuliliwa ati mi mtoto! siwezi ati..! sain kwanza kwamba huogopi chochote wala lolote..!
unautani na wapare
Mnavutia jamani! Ila muongezee na nakshi ya wallet mtaonekana warefu tu!
Ninavyopenda kudeka sasa? Sibanduki mikononi ng'oooooo.
Na baridi hii na mvua send one my way please.
lol.
Kwa hiyo wallet ndo inaongeza ule urefu ulopungua ili tuwafikie wenzetu???
??Na ni ugonjwa hasaaaaaaa. Manake hadi concentration huwa inapotea. Soooo yummy I could eat 'em whole!! Halafu asiwe kimbao kimbao.
Hongera kijana!