Mjini hakuna urefu wala weusi ni pesa tu. Kwani Riz Moko ana urefu gani? mbona anagonga watoto kama hana akili timamu?
Cha ajabu wale anaowagonga, wanachukua mkwanja halafu wanagongwa na warefu vilevile! Pesa pekee haitoshi ndugu!
Ukweli utabaki hapo hapo wanaume warefu wana mvuto zaidi!