Lols. Kwani unayeyuka?
Haraka kabla wenzio hawajamchukua jumla jumla!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lols. Kwani unayeyuka?
Si you come over this very minute.
Ni watamu ,,, wanajua kukuna
Penda sana <3
:A S-omg::juggle:
Una akili sana wewe.
kwa kweli tumetofautiana. Mi mweupe simtaki aisee. I don't even notice them.
Mkuu OLESAIDIMU basi ya Mungu mengi ngoja niuone maana kwenye smafara wa mamba na kenge wapo, mgaa gaa na upwa hali wali mkavu.....sasa basi Karucee hebu mtafute Lady doctor kwanza niwaambie kitu
Aaaaanh washaumizwa wengi sana kwa kusifiwa halafu wanamwagwa tu kinapotokea kidume kina sifa za kuwezesha kimaisha!!!!!!!
Nilitaka tuliweke sawa hilo kwanza mkuu...
we ni muongo sana
C'mon!!!!, now I can understand the reason for why my wife loves me that much lol!!. Thanks God kwa kuniumba jinsi nilivyo na umuongezee mke wangu mapenzi zaidi juu yangu.
Nakumbuka tukio moja nikiwa bado jank,kuna jamaa wa mtaani kwetu alimshka mke wake ugoni,kisha akamuachia mgoni wake na akamsamehe mke wake,watu wakamuuliza kwa nini kafanya hivyo akajibu mke wake anajua kuchagua,katembea na mwanaume mrefu kama yeye kwa hiyo hata kama watazaa mtoto bado atakua anaonekana ni wa ile familia,jamaa akasema kama angekuta jamaa(mgoni wake)ni mfupi angewauwa wote.
Utamu wake tunaujua sie, hata nikijaribu kukuelezea hutanielewa, ukiongozana nae, akiwa anacheka, mkiwa mmekaa nnatazamana, raha iliyojee
Naomba nikusalimie.