haya..... Husninyo, Cyan6, Karucee, Heaven on Earth, Ennie, OLESAIDIMU....hebu mnambie hapa kuna diskasheni gani na kama nafit kuwepo kwenye mjadala.....kama sio, niende zangu kwenye magari.:juggle:
Not so fast umbuje,taja kimo chako kwanza na rangi ya ngozi yako then utaambiwa kama ubaki au uongoze njia tu kwenda kwenye magari!!
Wana jukwaa jumapili njema
Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine?
Nimepata kuwauliza wadada wengi,ambao nimekutana nao maeneo tofauti wangependa waolewe au wawe na mahusiano na wanaume wa aina gani,wengi na karibu sehem kubwa hujibu kua wanapenda wanaume warefu ,weusi.
Mi naomba kujua wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada hadi wapendelewe hivyo?
Karibuni sana.
Okay mi ni 180CM umbuje.....rangi maji ya kunde...enhe?
Ngoja kidogo!
Eeeh.....haya nasubiri...
Kwa hiyo sisi wafupi hatuvutii??? lol
yule mbebs wake anachapwa na njemba moja.........
mzee yuko busy kutwa akirudi kamoja analala yule bidada dam bado inamchemka
Nilipoteza hesabu Cyan6, ivi how many now?
Ha ahaaa we kweli tomaso yaani msimamo mpaka mwisho???!!!!!!
Hehehheheh....! Count me in OLESAIDIMU...!
EYE CANDY. . .
Ukimtizama unafurahi, ukitembea nae unasikia fahari.
hebu njoo jukwaa la wakubwa kwanza nikumwagie ukweli. hapa wana wengi!
Nodding in concurrence, I just sit back and watch the show...tunashukuru kwa kutukubali.
Dahh yaani unajisifu kabisa umevuliwa chupi na warefu. Aisee kweli tunaoaga used