The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
- Thread starter
- #601
Duh, mada ina miaka 9 ndio inaletwa leo tena😂Oshey mr 💰🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, mada ina miaka 9 ndio inaletwa leo tena😂Oshey mr 💰🤣
Haha kwenye pita pita zangu na hii mada imeanzishwa nilikuwa la 6 daaah ni muda now nipo chuo 🤣🤣🤣Duh, mada ina miaka 9 ndio inaletwa leo tena😂
Ulikua darasa la 6?😂 Aisee kumbe tuko na watoto wetu humu.Haha kwenye pita pita zangu na hii mada imeanzishwa nilikuwa la 6 daaah ni muda now nipo chuo 🤣🤣🤣
Acha tu muda unakimbia sana ilikuwa ni juzi tu hapa daahUlikua darasa la 6?😂 Aisee kumbe tuko na watoto wetu humu.
Ndio nyie wale wakataa ndoa[emoji848]Haha kwenye pita pita zangu na hii mada imeanzishwa nilikuwa la 6 daaah ni muda now nipo chuo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
No way broNdio nyie wale wakataa ndoa[emoji848]
Koh koh kohHommie utanijazia inbox yangu ujue. Mdogo mdogo ndo mpango mzima.
Ban imeishaNo way bro
Stay straight bro 🤐
Duh 2014 nilikuwa Warwick nasoma masters degree.Acha tu muda unakimbia sana ilikuwa ni juzi tu hapa daah
🤣🤣🤣🤣
Igwe mr 💰 🤣.Duh 2014 nilikuwa Warwick nasoma masters degree.
Ungekuwa wa kike ningekwambia njoo nikuonjesheWana jukwaa jumapili njema
Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine?
Nimepata kuwauliza wadada wengi,ambao nimekutana nao maeneo tofauti wangependa waolewe au wawe na mahusiano na wanaume wa aina gani,wengi na karibu sehem kubwa hujibu kua wanapenda wanaume warefu ,weusi.
Mi naomba kujua wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada hadi wapendelewe hivyo?
Karibuni sana.
NoIgwe mr 💰 🤣.
Daaah asee long sana saizi una 36 sio
Wapi Konde Boy, time flies, cha kushukuru tunapumua. Sijui hawa Heaven on Earth Asprin na Evelyn Salt wapo dunia gani?[emoji38][emoji38][emoji38]Koh koh koh
Yawh yawh
Imagine. Mtu yupo std sixDuh 2014 nilikuwa Warwick nasoma masters degree.
Mekumiss sana ewe mkaka mrefu mweusi....😁 Habari za miaka teleWapi Konde Boy, time flies, cha kushukuru tunapumua. Sijui hawa Heaven on Earth Asprin na Evelyn Salt wapo dunia gani?[emoji38][emoji38][emoji38]
Nzuri sana! Glad you are around! Kama mwaka mpya vile[emoji8]Mekumiss sana ewe mkaka mrefu mweusi....[emoji16] Habari za miaka tele
Mheshimiwa mwenyekiti mimi nipo jana, na leo na hata mileleWapi Konde Boy, time flies, cha kushukuru tunapumua. Sijui hawa Heaven on Earth Asprin na Evelyn Salt wapo dunia gani?[emoji38][emoji38][emoji38]
Niitie Evelyn Salt nina haja naye.Mheshimiwa mwenyekiti mimi nipo jana, na leo na hata milele
Mara ya mwisho nilimwona akiwa mjamzito. Nadhani atakuwa wodi ya wazazi muda huu... Nilimwambia atumie condom akanidharauNiitie Evelyn Salt nina haja naye.
Msalimie mama MateshaMheshimiwa mwenyekiti mimi nipo jana, na leo na hata milele