Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Watamu hao balaaa! Kama samaki changu !! Ha ha ha !
 
Sijutii my sex match huwa anafeel protected huwa analinga huwa hahitaji mwengine a tall, giant and wise man cares, listen, humble and so romantic oooooh my God. When I hug her I can see what she really feel. She always miss my hug. Am so proudy of my uaridi ni bomper hata mimi huwa najihofia maake lile sio wowoooooo ka out ka dinner tu unakodoa as if mmasai analinda usiku haaaa haa haaa jamani ukiwa na pesa ya kubadilisha viji eneo na kumpa kidogo akijipododo basi unaonekana dumeeee.ukijumlisha na height oooopsss Mungu ahsante kwa kuniumba hivi ahsante baba kwa kunipa mwanamke anayenifanya nisitamani radha na harufu ya mchepuko
 
Swali la nyongeza mhe.Wanaume maji ya kunde nao vipi kwa wadada.
 
Uwiiiii kama ulikuwepo wanaume wafupi wanamaneno mengi mpaka kero jamani I have my short boyfriend yan nipo mbioni kumpa kibuni ananiudhi na is too much muongeaji

jamani jamani wadada. wafupi hawakujiumba acheni hizo bana ndio mnasababisha wajione inferior
 
jamani jamani wadada. wafupi hawakujiumba acheni hizo bana ndio mnasababisha wajione inferior

Hawajionagi inferior mkuu siku zote wanajiona superior nafikir hii ni kwa ajili ya defensive mechanism... ni mtazamo wangu lakini
 
Back
Top Bottom