Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,134
Sleep well,care for my kiddoes!!!![/QUOTE]
My duty,always.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sleep well,care for my kiddoes!!!![/QUOTE]
My duty,always.
Dadangu unamtokea kiaina na mke wangu unamuita dada!!!!!!
We unanitafuta asee!!!!
kwani hakuna wanawake wanaopenda vibamia?
kamata fursa ohooo....
Hapo ndio tambuen kuwa akili ya mwanamke inayumbishwa kama upepo yaan kama ilivyo papuchi yao haijulikan ipo upande gan, nyuma ipo mbele ipo kat kat ipo. Leo kavutiwa na six pack kesho atakwambie love garden, atakuja kukwambia mweupe ndio dili baadaye atakwambia mweusi...... Hawa viumbe wa ajabu sana yaan ukipata chance we piga na kutupa kapun halafu endelea kutafuta wengne:canada:
Hata mimi wakaka weusi warefu nawazimia mno ila nikiona kama huyu udenda huwa unanitoka: si mwembamba wala tipwa tipwa, mwili wake umejengeka kiasi, awe amenyoa nywele na ndevu vizuri, awe anajua kuvaa (si suruali za kushonesha mwenge zinalingana toka juu mpaka chini halafu chini zina upindo flani hivi). Nikikutana na aliyevaa kiofisi shati la mikono mirefu, linabanabana halafu mikono kaikunja halafu awe ananukia vizuri haki ya nani mapigo ya moyo yanabadilika. Akivaa casual t-shirt na pensi au chochote kinachoonyesha anajua kuchagua nguo mimi nafurahiiii hata kama hajui kuna mtu kama mimi. Nikipata bahati ya kumkaribia nikagundua ana akili na kaucheshi kidogo aisee mengine ntauliza mwakani.
Mama, my guess is that all men are open minded, at least. Only that women in relationships tend to have complicated imaginations of, or sometimes, imaginations of complicated things which do not exist in the relationships with their counterparts! Anyway, not a theory, just my thought!
Hamna kitu kama hicho.
Haya mambo ya kukariri yanasababisha unrealistic expectations.
I won't care! Hongera lakini! Sijawahi kukutana mrefu halafu yupo legelege! Sijui inakuwaje!