Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Nodding in concurrence, I just sit back and watch the show...tunashukuru kwa kutukubali.
 
hahaa last time christine ibrahim alisema yuko busy na baby wake

wakati kuna mjamaa alilikua aameanzisha thread kumtafuta

Siwaeleweni nyie wadogo siku hizi naona na wewe uko "monitored and evaluated" for what purpose huulizi unakenua tuuuuu!!!!!

Breaking someone's bone has never been a good experience,i think he is not my victim!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mkuu ila kwa nini hawa jamaa warefu wanapendelewa hivyo?
Kumbe ni hivyo, kumbe hizi rangi nyeusi kama jembe jipya plus urefu nazo ni marketable, ndio maana pamoja na kwamba si mshambuliaji mzuri lakini ukinasa sehemu kitu kinakuganda mpaka unaanza kujiuliza mara mbilimbili hivi mie nina nini mpaka huyu anishobokee (kumbe kuna siri ya mtungi hapa). Ila pamoja na urefu wako pia ujue kuwa-handle pia
 
Siwaeleweni nyie wadogo siku hizi naona na wewe uko "monitored and evaluated" for what purpose huulizi unakenua tuuuuu!!!!!

Breaking someone's bone has never been a good experience,i think he is not my victim!!!!

Mwenye dada hakosi shemeji!!!
Wa kwako wanauma eee??
We tulia usubiri barua ya posa na kuitwa uncle tu!!!
 
Back
Top Bottom