OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Na mwanafunzi nimepata,ana enjoy spoon feeding tu wala hachagui kipi ameze na kipi ateme!!
Aaanh sana tu jibu ni moja "mwalimu kasema" baaaaas!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwanafunzi nimepata,ana enjoy spoon feeding tu wala hachagui kipi ameze na kipi ateme!!
Tangu that time mbona wewe tu ulikuwa unambwela! !!!!!
Nimekupata.... Ole Masai....:juggle:
Wajibu wangu kama kaka, halafu christine ibrahim kapata kamchumba eeenh maana siku nzima weekend kimyaaaaaaa halafu aje na kichefuchefu na uchaguzi wa vyakula!!!!!!
Acha kutishana usiku majinamizi yatatake chance bureee!!!!!
Hahahaaa hajui kwamba tunahesabiwa humu tunaopenda warefu! Mkuu idadi imevuka lengo dah!
Aaanh sana tu jibu ni moja "mwalimu kasema" baaaaas!!!!
Ongeza awe mweusi ili tuendane mambo mawili. Cha kwanza bange. Haya malizia mwanamme mrefu------
ukweli utasemwa nimekua nikifanya monitoring and evaluation kwako, umekomaa kiakili,
Kumbe muoga eee!!!
Huhuuuhu nice technique ila sijui ka ita work dawa ni kumtafuta tall man n black one hahahaaa
hahaa last time christine ibrahim alisema yuko busy na baby wake
wakati kuna mjamaa alilikua aameanzisha thread kumtafuta
Kumbe ni hivyo, kumbe hizi rangi nyeusi kama jembe jipya plus urefu nazo ni marketable, ndio maana pamoja na kwamba si mshambuliaji mzuri lakini ukinasa sehemu kitu kinakuganda mpaka unaanza kujiuliza mara mbilimbili hivi mie nina nini mpaka huyu anishobokee (kumbe kuna siri ya mtungi hapa). Ila pamoja na urefu wako pia ujue kuwa-handle piaNi kweli mkuu ila kwa nini hawa jamaa warefu wanapendelewa hivyo?
luqmand kuna swali langu haujajibu
Siwaeleweni nyie wadogo siku hizi naona na wewe uko "monitored and evaluated" for what purpose huulizi unakenua tuuuuu!!!!!
Breaking someone's bone has never been a good experience,i think he is not my victim!!!!
Just pre cautious,uoga niliuacha mwaka 2000 huko!!!
Mwenye dada hakosi shemeji!!!
Wa kwako wanauma eee??
We tulia usubiri barua ya posa na kuitwa uncle tu!!!
Alaaa kumbe!!!