Swali kwa Wana Simba, Je Uzi wa live Updates Wydad vs Simba niuanzishe lini?

Leo leo mida ya jioni.
 
Mtani achaa, tukiingia Semi, moderators wajiandae kudeal na mie, kwani kichaa changu kitakua Live hapa JF.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaa! Mtani usisahau huu mchezo auhitaji hasira lakini. 🤣🤣🤣

Pia tuna uzi wetu Fans wa Waydad sijui kama umeuona nao nadhani kule ndo kitawakka. 🤣🤣🤣 Yaani kama nawaona mtakavyojaa 🤣🤣
 
Comments zikifika 50 Uzi unashushwa leo leo.. wanathimba msiniangushe[emoji23][emoji23]
 

 
Anzisha ili wakujibu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…