mlambaji asali
Senior Member
- Jan 30, 2023
- 150
- 505
Mwarabu feki anataka kuwasaidia maana mmatia hurumaLive Updates za Simba zina watu wake huwa wanaanzisha..
Wewe mambo ya Simba umetokana nayo wapi?
Zenu tu zilianzishwa mnazikimbia... Zinapoa hadi mfunge.
Nyie milikua wadogo zaidi ya priton kwa Al hilal na aliwafurushaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmekuwa wadoogo kama piritoni[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan tukiingia Semi, mtani nakuambiaje nitakua winja winja Hapa JF, km chizi kaona jalala jipyaa mjini.Hahahahaa! Mtani usisahau huu mchezo auhitaji hasira lakini. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pia tuna uzi wetu Fans wa Waydad sijui kama umeuona nao nadhani kule ndo kitawakka. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani kama nawaona mtakavyojaa [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mtanii, kuna watu wananichanganyaaa hapa, sina amani kabisaa.Naona ushaanza Teh teh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Riraaaksi Mtani. 🤣🤣🤣 Riraaaksi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mtanii, kuna watu wananichanganyaaa hapa, sina amani kabisaa.
Nazodolewaa huku, tukishinda hata wazime cm nawafata m1 m1. Sitakubaliiiii mweeeeeeh
Mtaani nna moyoo eti, [emoji23][emoji23][emoji23]Riraaaksi Mtani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Riraaaksi
Huyo jirani yangu mwache kashalewa zabibuWee nae sasa lini uliwahi mfunga Wydad tena Robo final CL???
Umevurugwaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila mtu afagie kwake...Mwarabu feki anataka kuwasaidia maana mmatia huruma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.Huyo jirani yangu mwache kashalewa zabibu
Jitahidi jitahidi 🤣🤣🤣Mtaani nna moyoo eti, [emoji23][emoji23][emoji23]
Ku rilaaaksiiii na venye hamnaa kweliii??
Wee kuwezaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una muhaho we dada[emoji1][emoji1]Kuku mwenye utitiri [emoji38] [emoji38]
Mavi yakale hayanuki.. Ijumaa iyo hapo keshokutw mtajutaa mbwa nyie[emoji23][emoji23]Nyie milikua wadogo zaidi ya priton kwa Al hilal na aliwafurushaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maombi yenu wanasimba yamekubali na mda wowote Uzi unashushwa..Nasemajee Uzi uanzishwe Leo[emoji1][emoji1]