Swali kwa Wana Simba, Je Uzi wa live Updates Wydad vs Simba niuanzishe lini?

Swali kwa Wana Simba, Je Uzi wa live Updates Wydad vs Simba niuanzishe lini?

Leo kama hutaukimbia weekend ikifika weekend asiukimbie
Ombi lako limefanyiwa kazi. Saa Moja kamili usiku Uzi wa live updates Waydad vs mnyama utakuwa mubashara hapa jukwaani na sisi waarabu tunaseme sio tu tutawafunga bali tutawafunga goli za kumwaga 6+
 
Mbona unachelewa kuweka updates aseee.....
نتمنى كل التوفيق لفريقنا المفضل wydad
 
Twende na huu huu maana hata wao juzi kwenye game yetu na Rivers walianzisha uzi wa ajabu ajabu mapema sana mi nikaupotezea kumbe ukaendelea
 
Ombi lako limefanyiwa kazi. Saa Moja kamili usiku Uzi wa live updates Waydad vs mnyama utakuwa mubashara hapa jukwaani na sisi waarabu tunaseme sio tu tutawafunga bali tutawafunga goli za kumwaga 6+
Halafu uje uchapwe home na Rivers sijui mtajifichia wapi
 
Mods tutoleeni huu upuuzi...live updates iwe live siku husika...kuepusha kujaza server zenu na upupu...
 
Halafu uje uchapwe home na Rivers sijui mtajifichia wapi
Mkuu we huwezi soma alama za nyakati? Rivers kachapwa 2-0 Nigeria, Anakuja kumaliziwa 9-0 Kwa Mkapa. Huu Mwaka Yanga inalipa visasi Kwa timu zote zilizokuwa zinainyanyasa huko kimataiafa, tulianza na waarabu wa Tunisia, tukaje Kwa Tp Mazembe, Sasa imefika zamu ya Rivers united na tunamwombea Pyramids atoboe naye akutane na kisasi chetu.
Kisasi ni haki hata Allah anajua
 
Mods tutoleeni huu upuuzi...live updates iwe live siku husika...kuepusha kujaza server zenu na upupu...
Nasemaje mpende msipende lazima Uzi uanze Leo, Maoni ya wanasimba walio wengi lazima yaheshimiwe
 
U
Mkuu we huwezi soma alama za nyakati? Rivers kachapwa 2-0 Nigeria, Anakuja kumaliziwa 9-0 Kwa Mkapa. Huu Mwaka Yanga inalipa visasi Kwa timu zote zilizokuwa zinainyanyasa huko kimataiafa, tulianza na waarabu wa Tunisia, tukaje Kwa Tp Mazembe, Sasa imefika zamu ya Rivers united na tunamwombea Pyramids atoboe naye akutane na kisasi chetu.
Kisasi ni haki hata Allah anajua
Ungesoma alama ungejua kuwa Rivers alishamfunga2 Wydadi kwao tafuta records
 
Matumizi mazuri ya manii yatajulikana ijumaa pale mwarabu atavyokumwagia za kutosha
Kama ilivyokuwa Jumapili mlipomwagiwa viwili vya kuunganisha. Ukakosekana au ulikuwa unajikanda au likizo fupi ya uzazi?
 
Back
Top Bottom