Swali kwa Wanasiasa: Kati ya Shetani na Binadamu nani ni baba wa Uongo?

Swali kwa Wanasiasa: Kati ya Shetani na Binadamu nani ni baba wa Uongo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Inadaiwa Shetani alimdanganya Eva pale katika bustani ya Eden, alimdanganya nini?

Ni nani aliyemuambia Adam kwamba yu uchi baada ya kula tunda alilokatazwa na Mungu asile?

Yawezekana shetani anasingiziwa mengi.

Maoni na Majawabu tafadhali!
 
Inadaiwa Shetani alimdanganya Eva pale katika bustani ya Eden, alimdanganya nini?

Ni nani aliyemuambia Adam kwamba yu uchi baada ya kula tunda alilokatazwa na Mungu asile?

Yawezekana shetani anasingiziwa mengi.

Maoni na Majawabu tafadhali!
Chama Cha Mashetani
 
Binadamu ndio baba wa uongo.

Now days shetani anakaa pembeni anashangaa "Dame what the hell is this ameifanya zaidi yangu😳
 
Inadaiwa Shetani alimdanganya Eva pale katika bustani ya Eden, alimdanganya nini?

Ni nani aliyemuambia Adam kwamba yu uchi baada ya kula tunda alilokatazwa na Mungu asile?

Yawezekana shetani anasingiziwa mengi.

Maoni na Majawabu tafadhali!
CCM ni baba na mama wa uongo.
 
Inadaiwa Shetani alimdanganya Eva pale katika bustani ya Eden, alimdanganya nini?

Ni nani aliyemuambia Adam kwamba yu uchi baada ya kula tunda alilokatazwa na Mungu asile?

Yawezekana shetani anasingiziwa mengi.

Maoni na Majawabu tafadhali!
Chama cha Mambuzi
 
Back
Top Bottom