Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You mean 😢Sahivi hakuna kuComplicate maisha
Ishi unavotaka
Maamuzi yako yanakwenda kutokana na mapito yako ktk maisha, cv tuliokula chumvi nyingi na tushachakata papuchi nyingi wala hatushangai kwanza kunapenda nusu nusu, una michepuko minne hapo kila mmoja upendo kwa ni 20% na hizo nyingine umeweka akiba kama akitokea mwingine unampatia bila kashida chochoteKanye west tangia ameachwa amechanganganyikiwa kabisa na juzi mahakama imempa ushindi kim kwa mama officially yupo single .Kanye anatishia kumuua Huyo boyfriend wa Kim .Je wewe unaweza tishia
AiseeInategemea Kama nimeachwa halafu bado limbwata linafanya kazi lazima nifanye unyama lakini Kama upendo umekuwa mapengo nami nitajisikia hivyohivyo kimapengomapengo.
Kanye west situation I think he wil kill herNyuma ya hili swali nn kimekusibu kwani?k
By Baba Jesca, Jiwe Mzilankende, ChumaWin win situation
Kanye west ameweka picha kama ana mzika boyfriend wa Kim .I wonder kwa nini mtu anafikia Hali hiyoIna Maana Huyo kim anafinyia ndani kama Wewe au?
Honey ukiendelea kufinyia ndani hivo ujue siku ukiniacha ntajinyonga ujue!!niahidi hutoniacha!!Kanye west ameweka picha kama ana mzika boyfriend wa Kim .I wonder kwa nini mtu anafikia Hali hiyo
Ina Maana Huyo kim anafinyia ndani kama Wewe au?
Ina Maana Huyo kim anafinyia ndani kama Wewe au?