Swali kwa wanaume: Hivi ukimwona au kusikia mkeo au girlfriend uliyempenda ana mtu mwingine na furaha unajisikiaje?

Swali kwa wanaume: Hivi ukimwona au kusikia mkeo au girlfriend uliyempenda ana mtu mwingine na furaha unajisikiaje?

Inategemea Kama nimeachwa halafu bado limbwata linafanya kazi lazima nifanye unyama lakini Kama upendo umekuwa mapengo nami nitajisikia hivyohivyo kimapengomapengo.
Sema hata wao wakiliwa timing vizuri huku limbwata bado linafanya kazi, huwa wanahangaika balaa. Bora wanaume linapokuja swala la kuhandle stress za mapanzi.
 
Kanye anamwita Pete, "Skete..."
Sema mchizi ni msanii mkubwa sana amejizolea umaarufu lakini bado anaumizwa na mapenzi. Kim anaonekana alikuwa na good pussy.
 
Bwanawee tusidanganyane kabisaaaa!! Wote humu tumewahi kupenda na kupendwa....mapenzi yanauma km zaidi ya kidonda jamani mweee!! Hulaliiii!!! Hata ukilala ukiamka tu mawazo ni kwa yuleee!! Aliyekuacha...... rose joshua ama zako popote ulipo ulinitesa sana....huo ndo ukweli!!! Hasa ukikumbuka yale mauno ndo kabisaaaa!!!jamani nyie?heee!!!...mapenzi mie bana hataa staki kuyasikia.....cha kufia?? 👙😠😠😂aende salama..tena nikiingia sionyeshi upendo....ke atanitesa maksudi akijua...ke wajinga sana tena wanatukomoa!! hasa akiwa na papuchi yenye nyama! kubwa! mfinyio!...anaziachia naniliu znyeusiiii.halafualafu yeye mweupe. ebu piga picha eti zinakua kubwa ili uchanganyikiwe vizuri!!
mie hawa hata staki kuwasikia...mashetani.
Mapenzi yaacheni tu, kuna muda unakuwa chakaramu wa wanawake ila kuna mmoja unakuja kujikwaa na unapenda haswa.


IKO HIVI

Mwanaume utakuwa na wanawake hata 10, ila unakuta hao 9 hauwezi kuwafurahia bila yule mmoja unaempenda. Namaanisha ili uenjoy kuwa wanawake 10 ni lazima uhakikisha yule unaempenda unaendelea kuwa nae.

Akikuacha unaempenda hata wale wengine unapoteza munkali nao.
 
Bro ni mapenzi tu haya mambo hayana cha tajiri wala maskini...unaeza mpenda mtu na una mihela kibao kwngine utaenda kujifurahisha tu lakini mapenzi yako unakuta yapo kwa mmoja tu huwa inatokea hii kitu
Kwangu mie nikiwa na hela haiwezi tokea maana nitakuwa nasasambua mbususu kwa kwenda mbele...coz for sure najua walbwende wamefuata mpungu wangu...so ni mwendo wa binuka nikulenge
 
Mapenzi yaacheni tu, kuna muda unakuwa chakaramu wa wanawake ila kuna mmoja unakuja kujikwaa na unapenda haswa.


IKO HIVI

Mwanaume utakuwa na wanawake hata 10, ila unakuta hao 9 hauwezi kuwafurahia bila yule mmoja unaempenda. Namaanisha ili uenjoy kuwa wanawake 10 ni lazima uhakikisha yule unaempenda unaendelea kuwa nae.

Akikuacha unaempenda hata wale wengine unapoteza munkali nao.
Uko sahihi kabisa
 
Kwangu mie nikiwa na hela haiwezi tokea maana nitakuwa nasasambua mbususu kwa kwenda mbele...coz for sure najua walbwende wamefuata mpungu wangu...so ni mwendo wa binuka nikulenge
Haya mambo hayana mwenyewe nakuambia we omba tu yasikukute.
 
Dunia ya Sasa sio ya zamani
Tunaachana Leo asubuh jioni napost brand mpya
Mke/mme anakufa leo baada ya miezi mtu anaoa / kuolewa

Kwa dunia ya Sasa uki invest kwenye mapenzi by 100% utaumia sana

Wengi waliumia kwenye first love

Hapo ndo usaliti ulipoanza na watu wakaacha kuingia kwa miguu miwili
 
Bwanawee tusidanganyane kabisaaaa!! Wote humu tumewahi kupenda na kupendwa....mapenzi yanauma km zaidi ya kidonda jamani mweee!! Hulaliiii!!! Hata ukilala ukiamka tu mawazo ni kwa yuleee!! Aliyekuacha...... rose joshua ama zako popote ulipo ulinitesa sana....huo ndo ukweli!!! Hasa ukikumbuka yale mauno ndo kabisaaaa!!!jamani nyie?heee!!!...mapenzi mie bana hataa staki kuyasikia.....cha kufia?? 👙😠😠😂aende salama..tena nikiingia sionyeshi upendo....ke atanitesa maksudi akijua...ke wajinga sana tena wanatukomoa!! hasa akiwa na papuchi yenye nyama! kubwa! mfinyio!...anaziachia naniliu znyeusiiii.halafualafu yeye mweupe. ebu piga picha eti zinakua kubwa ili uchanganyikiwe vizuri!!
mie hawa hata staki kuwasikia...mashetani.
Umeandika nini mkuu?
 
Inategemea Kama nimeachwa halafu bado limbwata linafanya kazi lazima nifanye unyama lakini Kama upendo umekuwa mapengo nami nitajisikia hivyohivyo kimapengomapengo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Dawa ya mwanamke Ni mwanamke mwenzie,

Ningelikua Kanyewest,
Soon TU tumeachana kahamia kwa mwingine na anajimwambafai sana na ilo penzi lake jipya.

Kwanza
Ningetembea na rafiki yake mkubwa wa kike (shosti yake) na Kim Kardashian.

Pili,
Nikiona jeuri inazidi,
Nahamia kwa mdogo wake wa damu tena tumbo moja na Kardashian.

Tatu,
Jeuri ikivuka kabisa mipaka,
Nahamia Moja kwa Moja na mama yake mzazi.

BAADA YA HAPO, Akikaa akatulia.

LAZIMA AJUTIE KABISA KUKUTANA NA KIUMBE KAMA MIMI MAISHANI MWAKE [emoji3525]
 
Back
Top Bottom