Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wooooyooooKutishia haitakusaidia kwa lolote, ila sitamsahau mbwa yule kwa mapenzi na miuno aliyokuwa ananikatikia mpuuzi sana
Ndio ujue mapenzi nyoko....ukimpata mbabe wako utakoma mbonaa[emoji28][emoji28]Haya ni mateso ya kujitakia kwa kweli....yaani una mihela alafu unasumbuliwa na mbususu moja tuu. Aisee mie na umaskini wangu wa bodadboda bado sijafikia huo ujinga....sasa siku nikizifumania hizo hela mbona mswati akasome[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binkubwa ukimaanisha nani..mama yako au[emoji16]Hawanipati ng'oo. Mie ni mwendo wa tugegedane tuenjoy. Mapenzi ya bimkubwa tosha.
Mkeo unampenda kwa % ngapi ?Maamuzi yako yanakwenda kutokana na mapito yako ktk maisha, cv tuliokula chumvi nyingi na tushachakata papuchi nyingi wala hatushangai kwanza kunapenda nusu nusu, una michepuko minne hapo kila mmoja upendo kwa ni 20% na hizo nyingine umeweka akiba kama akitokea mwingine unampatia bila kashida chochote
Ndio hivyo...mapenzi ya kweli yapo kwa mama. Haya ya wanawake wengini ni kulingana nanhali yako ya uchi kwa wakati huoBinkubwa ukimaanisha nani..mama yako au[emoji16]
Bro ni mapenzi tu haya mambo hayana cha tajiri wala maskini...unaeza mpenda mtu na una mihela kibao kwngine utaenda kujifurahisha tu lakini mapenzi yako unakuta yapo kwa mmoja tu huwa inatokea hii kituHaya ni mateso ya kujitakia kwa kweli....yaani una mihela alafu unasumbuliwa na mbususu moja tuu. Aisee mie na umaskini wangu wa bodadboda bado sijafikia huo ujinga....sasa siku nikizifumania hizo hela mbona mswati akasome[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hapa ndo usijidanganye kabisaa....wewe sikia kuwa mpole ili umsogeze karibu na ili wewe upone...Mapenzi yanaumiza Kwa muda tu... Pindi unapopata kama ya Kanye fanye immediately replacement ili kutuliza maumivu ya moyo. Time heals.
Nakazia [emoji457]Maamuzi yako yanakwenda kutokana na mapito yako ktk maisha, cv tuliokula chumvi nyingi na tushachakata papuchi nyingi wala hatushangai kwanza kunapenda nusu nusu, una michepuko minne hapo kila mmoja upendo kwa ni 20% na hizo nyingine umeweka akiba kama akitokea mwingine unampatia bila kashida chochote
Mambo mrembo [emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wooooyoooo
Oyaaa weee [emoji16][emoji119]Kutishia haitakusaidia kwa lolote, ila sitamsahau mbwa yule kwa mapenzi na miuno aliyokuwa ananikatikia mpuuzi sana