Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye sura za babazenu na mliojazia kila eneo mshinde mechi zenu Kwakweli!Kwahiyo siye wenye sura za dad tutulie😔
[emoji2][emoji2][emoji2] kivipi tena jamaniHuu uzi mbona umenikatisha tamaa sana[emoji3064]
A. Nyama nyingi mchuzi kidogo a.k.a Rosti..??Je,mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau?
Na kwanini?
Uskate tamaa watu wanatamani v8 ila uwezo wetu ni wa noah .Huu uzi mbona umenikatisha tamaa sana[emoji3064]
Naona kila comment hainihusu😌[emoji2][emoji2][emoji2] kivipi tena jamani
kamba!!Nyuzi kama hizi ziko na lengo kuwapa depression Vibonge ,kiufupi VIBONGE Warembo mno ,wanavutia
kumbe hizi ni ndoto zenu sio😃😃Uskate tamaa watu wanatamani v8 ila uwezo wetu ni wa noah .
lee wewe sio bonge😂 acha uongokumbe hizi ni ndoto zenu sio😃😃
quote of the day.....Nyama ya mfupa hua ni tamu kuliko steki,
Bila shaka tumeelewana au sauti haitoshi niongeze?
Tena za alinacha .kumbe hizi ni ndoto zenu sio[emoji2][emoji2]
🤣🤣🤣🤣🗣️Kaukau. Wanajua kuililia
niache😃😃😂😂😂lee wewe sio bonge😂 acha uongo
Haitoshi mkuu ongezaNyama ya mfupa hua ni tamu kuliko steki,
Bila shaka tumeelewana au sauti haitoshi niongeze?
😀😀😀 kabsa yani aweke wazi ni mashavu yapi anawachanganya wananzengoMashavu yapi???.......hebu kuwa specific kiongozi.