Jugado
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 1,446
- 3,184
Haswa mambo ya tumbo ni no no ila ulaji wetu pia unasidia no broiler nyama mpaka jumapili ni wali kidogo maharage bakuli nzimaKabisa,awe na Mwili wa kubebeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswa mambo ya tumbo ni no no ila ulaji wetu pia unasidia no broiler nyama mpaka jumapili ni wali kidogo maharage bakuli nzimaKabisa,awe na Mwili wa kubebeka
Serious watoto ikifika juma pili utasikia leo ni nyama!🤣🤣🤣Aisee
Wakichoka maharage kuna options kibao bamia ngogwe kabichi Dagaa eland the likeSerious watoto ikifika juma pili utasikia leo ni nyama!
Yes nikipata kauwezo nachemsha kuku ila haipo kwenye ratiba🤣🤣Wanakuja siku kabisa
Sure usipoithibiti familia ndo utakuta huyu anajikaangia viazi huyu anafanya kile ili mradi wale Kwa kufuata appetite..Ni kweli Ili wasiwe na mazoea
Uwe na chombo sasaView attachment 2685093
Mniue tu uku sitoki[emoji38][emoji38][emoji38]
Aise niseme ukweli, wote kuna mwanamke mwili na anapendeza na kutia amsha amsha na mwili (mafuta yake) na kuna mwanamke unakuta kakauka na aloo anatia amsha kwa umodel wake. Kimsingi kila mwanamke kaumwba kupendeza kwa namna yake.Je,mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau?
Na kwanini?
kaukau zinatafunika vizuri,karachuuuuu.....karachuuuuu!Je,mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau?
Na kwanini?
Tena vinabebeka vizuri mno huku unatembea nako chumba kizima unakatandika tu mikwaju ya babu yake Ashura mcharuko!🤣🤣🤣🤣 Na kubebeka pia,
🙄🙄🙄🙄🙄🙄Una Yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila ukweli na usemwee wanawake wanene tuna pepo yetuu...Mimi napenda mnavyotuslap😅😅😅
Sivumi lakini nimo mkuu!🤣🤣🤣Kumbe nawe umo🥴😍