Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Ni 5% ya wanawake ndio hujali Sana muonekana wa mwanaume, Ila 95% wanachojali ni upendo, kuthaminiwa,uwe na pesa za kumtunza (kula)+mkojozo wa maana...(piga mbumbusi aswa).
 
Kiuhalisia ni nadra sana mwanamke kumpenda mwanaume mweupe.

Yaani unakuta mwanaume ana rangi ya mtume inawakawaka kuliko mwanamke, hawezi akampenda ataonyesha kumchukia kwa sababu anaona mwanaume kabarikiwa vitu ambavyo yeye mwanamke ndo anatamani angekuwa navyo hapo lazima aonyeshe chuki inayochangiwa na wivu.

We jiulize kwa nini wanapishana kwenye maduka ya vipodozi wanatumia gharama kuutafuta muonekana ambao mwanaume mweupe anao bure, lazima kuwe na bifu hapo, wataishia oooh nataka mwanaume mweusi mreu, ila wanapenda watoto wawe weupe, mwanamke akiwa na mtoto mweusi huwezi ukaona anapiga nae picha nakuuza sura mtandaoni.

Demu anakutana na mwanaume mweupe handsome ana nuru ya sura yaani kiufupi mwanaume mzuri kuliko demu afu unategemea demu ampende, mademu wenyewe wao kwa wao huwa wanaoneana wivu akikutana na wanawake wenye mvuto zaidi yake ndo maana utawaona wanapotembea huwa ni kimagrupu, grupu hili sura za wajomba, hawa sura za baba, hawa wenye unafuu, na pisi kali nao huwa wanajitenga wenye mvuto unaofanana kuepusha jealous na bifu kwa wale mvutoless.

Kwa experience yangu wanawake wenye pigo za napenda mwanaume mweusi mrefu, wengi wao huwa hawana mvuto afu wana trauma ya kutotongozwa, ama kusimamishwa njiani kuombwa namba na mahandsome enzi za usichana wao, hivyo wanapsychological effect inayopelekea chuki kwa mahandsome mawaiti wanawaita mabishoo si unajua mabishoo wanapendaga pisi za kwenda afu huwa hazipingi.
Una hoja ...usikilizwe....wanatuonea wivu...mwanamke Kila kizur anataka kiwe chake...ni viumbe wenye wivu na ubinafsi kama honey burger
 
Hapa ukifuatilia kwa jicho la tatu kuna bifu wadada wamelitengeneza dhidi ya wanaume weupe wenye sura za mama kwasababu wanahisi wao ndiyo wanastahili kuwa na rangi nyeupe na sio wanaume.

Sasa unakuta mwanamke mweusi kama lami halafu anakutana na mwanaume mweupe unadhani atafurahi?

Matokeo yake ndiyo haya utasikia mdomoni anasema mwanaume mweusi ndiye chaguo lake lakini moyoni anamhitaji mwanaume mweupe ili wazae watoto weupe wenye kuvutia.
Kwani wewe ni cheupe?
Unatuonea wivu weusi?

Mbona una chuki kiasi hicho?
 
Kilichotuponza wanaume weupe ni kutaka kuendelea kuulinda weupe wetu now days imekuwa kawaida wa kiume weupe kumuuliza wakike unatumia mafuta gn nae anataka ngozi iwe nyororo hapa sasa sifa ya kiume ndio inatoka ila kiuhalisia ngozi ya mwanaume inaimarishwa na kula sana na vzuri kunywa maji mengi na mazoezi
 
Una hoja ...usikilizwe....wanatuonea wivu...mwanamke Kila kizur anataka kiwe chake...ni viumbe wenye wivu na ubinafsi kama honey burger
tushawasomaga sema tunakausha tu, huku mtandaoni anasema NO ila tukikutana kwenye chocho ye ndo anakulazimisha useme YES
 
ANaesema anapenda mweusi mrefu hajakutana na uyo mfupi mweupe akaona ana nini😎mimi pia nilikuaga ivoivo but siku niliponasa kwa kijana mfupi mweupe pee😄aah nilienjoy mapenzi tulikaa miaka 3 thow, yaan tuliendana kwa kila kitu alijua kuniloga..mimi niwakubebewa mkoba kweli? Mm wakukisiwa hadharani hahaa t wz drm cm tr.
Kutaka mtoto kabla ya ndoa kulitutenganisha.
 
ANaesema anapenda mweusi mrefu hajakutana na uyo mfupi mweupe akaona ana nini[emoji41]mimi pia nilikuaga ivoivo but siku niliponasa kwa kijana mfupi mweupe pee[emoji1]aah nilienjoy mapenzi tulikaa miaka 3 thow, yaan tuliendana kwa kila kitu alijua kuniloga..mimi niwakubebewa mkoba kweli? Mm wakukisiwa hadharani hahaa t wz drm cm tr.
Kutaka mtoto kabla ya ndoa kulitutenganisha.

Daah mfupi mweupe ukute ana chunusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hao wakaka weupe siwakubali sijui kwanini
 
Zamani nilidhani hawa dark skin nigger ndo wenyewe kwenye tendo badae nikakutana na white skin mubaba weeeeeeee acha tu.
 
Back
Top Bottom