Shida yote ya nini hii?Tangu mifuko ya nylon ipiwe narufuku ,basi tunapata tabu sana, maana ilikua inasaidia sana ,unavaa mfuko miguuni then unaivuta Suruali kulee ishatoka[emoji3] [emoji3]
Kwasasa tunatumia hadi dk 10 Suruali haijavuka aisee ,unazunguka chumba kizima huku ukijitahidi itoke ,yaani hatarii[emoji3]
Mambo swafii sjui weweMleviiii, mambo!
Poa tu, za huko uliko?Mambo swafii sjui wewe
[emoji1] ,ndyo hivo ni kupendeza tuuShida yote ya nini hii?
Mimi naona kama mnatushambulia vile.[emoji1] ,ndyo hivo ni kupendeza tuu
Swalama kabisaPoa tu, za huko uliko?
Sasa hapo nyayo lazima unase labda isiwe jeansNi naanzaje kuacha kuvaa sasaView attachment 1287975
HahahaSi ndio mana wanaziita "Ntakunyakunyaje"[emoji23]
Hahah aisee sasa walishapata jibu la watakunyajekunyaje mkuu?
financial services, Pakeni mwilini mafuta ya kula au mafuta ya cherehani itapita vizuri.
Tangu mifuko ya nylon ipiwe narufuku ,basi tunapata tabu sana, maana ilikua inasaidia sana ,unavaa mfuko miguuni then unaivuta Suruali kulee ishatoka[emoji3] [emoji3]
Kwasasa tunatumia hadi dk 10 Suruali haijavuka aisee ,unazunguka chumba kizima huku ukijitahidi itoke ,yaani hatarii[emoji3]
Chinekeeeee... Huyu ni weye? Tumbo kama huli! Au wanakunyima chakula jemeni?Ni naanzaje kuacha kuvaa sasaView attachment 1287975
Naona bado ni swali tu wape jibuHahah aisee sasa walishapata jibu la watakunyajekunyaje mkuu?
Hahaa, mi mwenyewe sijawahi tumia ila nishaona ndugu yangu ร navaa mfuko kama soksi then Suruali inafata, yani fasta ishaingia [emoji1] [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hii ya kuvaa jeans na mfuko ni kweli?mie huwa nalazimisha hivyo hivyo inakubali....sikuwahi kutumia hiyo mifuko
Hahaa, mi mwenyewe sijawahi tumia ila nishaona ndugu yangu ร navaa mfuko kama soksi then Suruali inafata, yani fasta ishaingia [emoji1] [emoji1]
Yaani acha, mi kuna hiyo moja nilimpelekea Fundi aibane kiasi ilikua kubwa sasa alichonifanyia[emoji3] kisigino hakipiti kabisa dah,nahangaikaje nayo[emoji3][emoji28][emoji28][emoji28]
Tuna tabu kweli
Si ndio mana wanaziita "Ntakunyakunyaje"[emoji23]
Yaani acha, mi kuna hiyo moja nilimpelekea Fundi aibane kiasi ilikua kubwa sasa alichonifanyia[emoji3] kisigino hakipiti kabisa dah,nahangaikaje nayo[emoji3]