Swali kwa wanawake wanaovaa jeans za kubana

Swali kwa wanawake wanaovaa jeans za kubana

Tangu mifuko ya nylon ipiwe narufuku ,basi tunapata tabu sana, maana ilikua inasaidia sana ,unavaa mfuko miguuni then unaivuta Suruali kulee ishatoka[emoji3] [emoji3]

Kwasasa tunatumia hadi dk 10 Suruali haijavuka aisee ,unazunguka chumba kizima huku ukijitahidi itoke ,yaani hatarii[emoji3]
Shida yote ya nini hii?
 
  • Thanks
Reactions: amu
[emoji1] ,ndyo hivo ni kupendeza tuu
Mimi naona kama mnatushambulia vile.

Unajua kesi za "shambulio za aibu" wanazopewa wanaume wanaowashambulia wanawake kwa mfadhaiko?

Zianze kuwekwa Ki Taliban kwa wanawake wanaovaa leggings na vijinsi vya kubana.

Mnatushambulia hamshitakiwi.

Si haki hii!
 
Tangu mifuko ya nylon ipiwe narufuku ,basi tunapata tabu sana, maana ilikua inasaidia sana ,unavaa mfuko miguuni then unaivuta Suruali kulee ishatoka[emoji3] [emoji3]

Kwasasa tunatumia hadi dk 10 Suruali haijavuka aisee ,unazunguka chumba kizima huku ukijitahidi itoke ,yaani hatarii[emoji3]

😂😂😂😂
Hivi hii ya kuvaa jeans na mfuko ni kweli?mie huwa nalazimisha hivyo hivyo inakubali....sikuwahi kutumia hiyo mifuko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hii ya kuvaa jeans na mfuko ni kweli?mie huwa nalazimisha hivyo hivyo inakubali....sikuwahi kutumia hiyo mifuko
Hahaa, mi mwenyewe sijawahi tumia ila nishaona ndugu yangu ànavaa mfuko kama soksi then Suruali inafata, yani fasta ishaingia [emoji1] [emoji1]
 
Saivi wanapaka lotion nyingi miguuni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
SAA ya kuvua lile jinzi usiwe karibu yake aisee...vijampo vyote alivyojamba mchana kutwa huwa ndo vinapata nafasi ya kutoka vinakuwa vimejirundika kwenye suruali ...harufu yake utakimbi aiseee
 
Back
Top Bottom