torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
wana jukwaa
hivi nyie wanawake mkitongozwa na mkakubali mnachuka muda gani kuanza kuomba pesa? au tuseme kunyenga au kuhonga
kuna mdada kumu kanisikitisha sana kwa kweli ata kama hali ya magu tete lakini sio kwa staili ile aliyokuja nayo.. duu!
ndio maaana nauliza hili swali kwa hapa labda siku hizi utaratibu umebadilika kwenye swala la kuhongwa
ebu tujuzane mnachukua muda gani kuanza kuomba hela baada ya kutongozwa
hivi nyie wanawake mkitongozwa na mkakubali mnachuka muda gani kuanza kuomba pesa? au tuseme kunyenga au kuhonga
kuna mdada kumu kanisikitisha sana kwa kweli ata kama hali ya magu tete lakini sio kwa staili ile aliyokuja nayo.. duu!
ndio maaana nauliza hili swali kwa hapa labda siku hizi utaratibu umebadilika kwenye swala la kuhongwa
ebu tujuzane mnachukua muda gani kuanza kuomba hela baada ya kutongozwa