Swali kwa wanawake

Dagaa fungu1, 300 na kitunguu cha mia nanunua dona nusu 300 naenda kununua kuni za mafungu za 300 na maji ya kandolo ya mia, ya kushushia msosi wetu.

Natandika jamvi namsubiri baba watoto aje tukamue nguna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dagaa unapika bila kuweka nyanya wala mafuta si bora upike bamia na dona.
 
Kama ataenda kubet iyo buku inaweza ikafanya mkala nyama kabisa joking[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…