Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiliwa mtalala njaa[emoji23]lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaha!!!
Plan B itanihusu, nina TUZO points za kutosha (Vodacom), zaweza nunua unga nusu kg..Tutakula kwa ugali kwa ndimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikizungumzia nyama sio staili ile ya finyango mbili ndogo kama punje za ubuyu, nile nyama nijiskie nimekula nyama yani. More than enough!Ha!ha!
Nyama mara moja moja sana.
Sio kila siku mzee.
Kama nyie mwataka nyama kila siku hiyo hela haitoshi tena ukute hamtaki finyango mbili mnataka mle kwelikweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
kila kitu tena? sasa buku ya nini kama kila kitu kipo?Labla buku kuwe na kila kitu ndani.
haya mnayosema ni kweli ama mnachangamsha genge tuu?!!Dagaa fungu1, 300 na kitunguu cha mia nanunua dona nusu 300 naenda kununua kuni za mafungu za 300 na maji ya kandolo ya mia, ya kushushia msosi wetu.
Natandika jamvi namsubiri baba watoto aje tukamue nguna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana dada, maana mpaka nimeshtuka kuona kizazi hiki bado kuna wanawake wanaoona mbali hivi. Tena unanunua viazi vya 500 na change inabaki, SALUTE SANA KWAKO
Hilo buku mbona tutakula na kusaza.
Nawekeza kwa Australia wangu watatu @ over 2.5
* Sydney VS Brisbane roar
*Melbourne victory VS Phoenix
*New castle jets VS Adelaide United.
Ashindwe kula tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hadi na juice ya matunda, kumb kuna watu hamjauona moto wa kulala kwa ugari na mchuzi wa nyanya pasipo chochote!!Watu wanne 10000 yatosha kwa siku
Hapo umeweka juice ya matunda kila usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna za kutuma watoto wakaokoteleze kuni3 Tsh50[emoji57][emoji57][emoji57]Kuni fungu Mia 500 kuni tatu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa sijui atapikaje.
Mkiongelea kuokoteleza kuni kumbukeni sio kila makazi yana kuni za kuokoteleza.kuna za kutuma watoto wakaokoteleze kuni3 Tsh50[emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama kila kitu kipo ndani hauachi hata pesa kidogo dhalura.
Watoto wa kizazi hiki wanakubali 50 wanaijua pesa.kuna za kutuma watoto wakaokoteleze kuni3 Tsh50[emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app