Swali kwa wasomi wa Jiografia na Fizikia wenye akili zao, kama ulienda shule kukariri pita mbali

Swali kwa wasomi wa Jiografia na Fizikia wenye akili zao, kama ulienda shule kukariri pita mbali

Nje ya mada; Una unga wa ugali, maji, sufuria, mkaa ,jiko la mkaa, mwiko wa kuongea ugali na banio. Lengo ni kupika ugali.

Umewasha jiko la mkaa kisha ukatenga sufuria la ugali, umeweka maji na unga kiasi ili uandae uji ambao ukichemka ipasavyo utaweka unga halafu kwa kutumia mwiko utasonga ugali.

Swali; Ni kwanini ukiweka unga kabla maji / uji haujachemka vizuri ugali hautaiva (utakuwa mbichi) hata kama utaongeza moto mwingi ?

Niliwahi kuuliza swali hili kwa mwalimu wangu wa physics, badala ya kunijibu alinichapa kwa madai kwamba nauliza maswali ya ajabu ajabu
 
Nje ya mada; Una unga wa ugali, maji, sufuria, mkaa ,jiko la mkaa, mwiko wa kuongea ugali na banio. Lengo ni kupika ugali.

Umewasha jiko la mkaa kisha ukatenga sufuria la ugali, umeweka maji na unga kiasi ili uandae uji ambao ukichemka ipasavyo utaweka unga halafu kwa kutumia mwiko utasonga ugali.

Swali; Ni kwanini ukiweka unga kabla maji / uji haujachemka vizuri ugali hautaiva (utakuwa mbichi) hata kama utaongeza moto mwingi ?

Niliwahi kuuliza swali hili kwa mwalimu wangu wa physics, badala ya kunijibu alinichapa kwa madai kwamba nauliza maswali ya ajabu ajabu
Hili tulipeleke food science 😆😆
 
KWA KICHINA INAVYOSOMWA
TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
Nǐ de wèntí hěn hǎo, shèjí duì wùlǐ yuánlǐ de lǐjiě, tèbié shì guànxìng hé xuánzhuǎn xìtǒng zhōng wùtǐ de yùndòng. Wèile jiǎndān qǐjiàn, wǒmen zhèyàng shuō:

1. Guànxìng (wùlǐ sùdù): Dìqiú shàng de yīqiè wùtǐ, bāokuò fēijī, zhíshēngjī hé wǒmen rénlèi, dōu yǐ dàyuē 1,674 gōnglǐ/xiǎoshí (chìdào dìqū) de sùdù suí dìqiú xuánzhuǎn. Zhè yìwèizhe, shènzhì zài nín fēixíng zhīqián, nín jiù yǐjīng yǐ gāi sùdù yǔ dìqiú yīqǐ yídòng. Yīncǐ, rúguǒ nǐ zhàn qǐlái huò fēixíng, nǐ réngrán jìxù yǐ dìqiú de sùdù yídòng, jiù xiàng nǐ zài yī liàng kuàisù yídòng de qìchē lǐ yīyàng, rúguǒ nǐ tiào jìnqù, nǐ huì tíng zài qìchē de bùtóng wèizhì, nǐ huì zài fùjìn zhuólù nǐ kāishǐ dì dìfāng, yīnwèi nǐ yǐjīng hé qìchē yīqǐ yídòngle.


2. Qìchē zhōng de lìzi: Xiǎngxiàng yīxià, nǐ zuò zài yī liàng yǐ 100 gōnglǐ/xiǎoshí de sùdù xíngshǐ de qìchē lǐ, nǐ tiào dé gèng gāo yīdiǎn, nǐ jiù huì jìxù yǐ yǔ qìchē xiāngtóng de sùdù xiàng qián yídòng. Zhè zhǒng qíngkuàng yě fāshēng zài dìqiú shàng de fēijī huò zhíshēngjī shàng. Jīběn shàng, nǐ de shēntǐ chéngwéi dìqiú xìtǒng de yībùfèn, yǐ gāi xuánzhuǎn sùdù yídòng.


3. Fēijī hé zhíshēngjī: Fēijī huò zhíshēngjī jíshǐ fēi qǐlái, réngrán bǎo chí zhuó dìqiú zìzhuǎn de sùdù, suǒyǐ tāmen bùnéng zhǐshì “tíng xiàlái” děngdài dìqiú bǎ zìjǐ dài dào lìng yīgè dìfāng. Wèile qiánwǎng qítā dìfāng, fēijī lìyòng fādòngjī dònglì yǐ gāo yú dìqiú de sùdù jiāsù dàodá mùdì de.



Yīncǐ, ràng wǒmen huòzhě fēijī méiyǒu jiàngluò zài yìdì de yuányīn shì wǒmen cóng yī kāishǐ jiù jìxù yǐ tóngyàng de sùdù yǔ dìqiú yīqǐ yùndòng.
©Jiékèxùn94
Shubamiti yako Bazazi Mkuu wa mabazazi wewe
 
Nithibitishe kwa kipi zaidi ya maandishi??

Na tayari nimeandika kwamba asilimia 75 ya dunia ni maji, na maji hayawezi kupinda au kuwa na mkunjo, hivyo kwa kutumia common sense unapata majibu.
Nyongeza: kama dunia ni tambarare, watuoneshe jinsi maji yanavyoweza kuninginia katika uhalisia
 
Nithibitishe kwa kipi zaidi ya maandishi??

Na tayari nimeandika kwamba asilimia 75 ya dunia ni maji, na maji hayawezi kupinda au kuwa na mkunjo, hivyo kwa kutumia common sense unapata majibu.
Bahari?
 
"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Jibu ndege nazo zinaruka zipo kwenye atmosphere ya dunia. Mipaka ya dunia nikwenda juua n kwenda chini atmosphere ipo ndani.ikizunguka dunia na atmosphere yake inazunguka pamoja pia mwezi ni wa hii dunia
 
"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Yaan ulivyopiga bit hapo juu na maswali uliyoweka hapa unaonekana uwezo wako ni mdogo sana. Umeshindwa hata kutumia simu yako vema ukapata msingi.
 
"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Fanya experiment ndogo !!chukua apple au chungwa halafu panda kwenye gari inayotembea then lirushe juu halafu uangalie kama utaliacha nyuma au utalidaka

baada ya hayo utapata jibu lako
 
Dunia haizunguki, dunia ni tambarare.

Maji hayapindi, maji hufuata level iliyo nyooka, pia asilimia 75 ya uso wa dunia ni maji.

Jua linazunguka kutoka mashariki kwenda magharibi.

Juu ya anga kuna kizuizi, hakuna anayeweza kutoka. Juu kuna maji chini kuna maji.

As above, so below.
🤣🤣🤣
 
Nithibitishe kwa kipi zaidi ya maandishi??

Na tayari nimeandika kwamba asilimia 75 ya dunia ni maji, na maji hayawezi kupinda au kuwa na mkunjo, hivyo kwa kutumia common sense unapata majibu.
Wangekuwa wanatumia common sense kwenye kila kitu mpaka leo tungekuwa tunasafiri kwa farasi
 
Kwahiyo kumbe hawatumii common sense?

Sasa wanatumia nini?
Yaani common sense ni kwa average minds hao inventors wana sense beyond yours ndo maana hata ueleweshwe vipi huwezi kuelewa kamwe.
Nyie mnaosemaga earth ni flat huwa hamna uthibitisho ....ila ni wazuri kubishana
 
Yaani common sense ni kwa average minds hao inventors wana sense beyond yours ndo maana hata ueleweshwe vipi huwezi kuelewa kamwe.
Nyie mnaosemaga earth ni flat huwa hamna uthibitisho ....ila ni wazuri kubishana
Sawa mkuu, lakini kama mtu hatumii common sense, huyo ni sawa na mwendawazimu.
 
"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karibuni
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣......
duh..!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣......
duh..!
Dadadeki
 
Sawa mkuu, lakini kama mtu hatumii common sense, huyo ni sawa na mwendawazimu.
Ndo ivo kwa kutumia common sense utaona vitu kikawaida kawaida.......achia watu wanaoreason wagundue gunduzi hizi unazoziona halafu wewe ununue 😅😅
 
Back
Top Bottom