Swali kwa wasomi wa Jiografia na Fizikia wenye akili zao, kama ulienda shule kukariri pita mbali

Basi linatembea kwa spidi 60 kwa saa, nzi anaruka toka kiti cha nyuma kwa spidi ndogo sana na kwenda kutua kiti cha mbele, kwanini nzi huyu asingezidiwa spidi na kujigonga kwenye kioo cha nyuma ya basi.
 
Pamoja na kudhani hakufikiki kwenye ukuta huo lakini ndege zinaruka juu ya huo ukuta.
Kuhusu jua, tuamini kuwa yapo majua mengi yanatoka mashariki na kutumbukia magharibi!
 
Pamoja na kudhani hakufikiki kwenye ukuta huo lakini ndege zinaruka juu ya huo ukuta.
Kuhusu jua, tuamini kuwa yapo majua mengi yanatoka mashariki na kutumbukia magharibi!

Eti jua ndio asili ya maji
Jua na mwezi vimeumbwa na Mungu baada ya hayo maji kuwepo na kutngamishwa. Na ni Mungu aliyesema pawepo na mianga miwili mkubwa! Mmoja utawale mchana na mwingine utawale usiku.
 
Likizungukabhivyo kisha tunaona Giza ? Manake si liko juu ya Dunia Giza linatokea wapi
 
Jua na mwezi vimeumbwa na Mungu baada ya hayo maji kuwepo na kutngamishwa. Na ni Mungu aliyesema pawepo na mianga miwili mkubwa! Mmoja utawale mchana na mwingine utawale usiku.
Vyema sana mkuu, pia kuhusu mwisho au ukingo wa dunia, kwanza kabisa watu wajue kwamba ndege haziruhusiwi kufika huko, na ule ukuta hakuna aliye fanikiwa kuvuka.

Endapo watu watavuka, basi watakutana na ardhi nyingine, mabara mengine ambayo yame zungukwa na Glass Dome.
 
Ni kama Mr Ebbo alivotudanganya kwenye wimbo Mi Mmasai.

Eti alipanda Landrover akawa anaruka juu, akapandisha mori akaruka sana gari ikamuacha.

Jeez,

Newtons 1st Law of Motion hairuhusu hii kitu.
Hii mbona inawezekana ukiwa juu ya pickup au lorry au....😂😂
 
 
Ndege zina paa within earth spheres... Hazifiki kwenye space so ni part ya dunia, elewa zones za dunia......
 
vipi ndege ikienda vise versa i mean dunia inazunguka kutoka magharibi kwenda mashariki ndege ikaenda tofauti yani mashariki kwenda magharibi..??
 
H
Hapa ndipo mwisho wa huu uzi.
 
vipi ndege ikienda vise versa i mean dunia inazunguka kutoka magharibi kwenda mashariki ndege ikaenda tofauti yani mashariki kwenda magharibi..??
Hakuna kitacho badilika Mkuu naomba upitie Mifano kadhaa nimeiweka ..

Au mfano rahisi zaidi ni huu hivi mtu akiwa anatembea ndani ya basi(Bus)lililo kwenye mwendo kutoka mbele upande wa dereva kuelekea nyuma ya basi je mtu huyo atapishana na uelekeo gari linalotembea na yeye akiwa ndani yake.?
 
Kwasbabu ya force of gravity
 
Jua na mwezi vimeumbwa na Mungu baada ya hayo maji kuwepo na kutngamishwa. Na ni Mungu aliyesema pawepo na mianga miwili mkubwa! Mmoja utawale mchana na mwingine utawale usiku.
Sayansi inatudanganya kwamba jua ni mkusanyiko wa gesi anuai sijui
Likizungukabhivyo kisha tunaona Giza ? Manake si liko juu ya Dunia Giza linatokea wapi

Likizungukabhivyo kisha tunaona Giza ? Manake si liko juu ya Dunia Giza linatokea wapi
Mbona ni jambo rahisi tu kuelewa kinachojiri hadi kupata usiku na mchana? Kuna picha ya mdau mmoja humu inayoonyesha namna watu wa zama walivyotumia kivuli kuratibu muda! Kwa mfano ule wa plate ya saa(iliyoandokwa namba 1 hadi 12) ilaze flat ukiwa kwenye giza. Kisha chukua torch uizungushe juu ya round ya hiyo plate ya round kubwa ya saa kwa usawa wa kati ya ncha ya kati na round ya nje(kati ya ncha ya kati na namba zinapoandikwa. Utaona kadri torch inavyo zunguka,mwanga wa torch utakuwa unahama location kuanzia usawa wa namba 1 kuzunguka 2.3.4.....12. unaingia tena kuanzia1. Na mwanga wa torch( mfano wa mwanga wa jua) unapohama automatically kule unapotoka panabaki kuwa giza hadi mzunguko utakapopafikia Tena.
 
Na namna Mungu alivyoumba ni kwamba mwanga wa jua ukishapita,mwezi ambao nao upo kwenye mzunguko kuzunguka round table hiyo(Dunia)unapita kumulika kule jua lilipohama kimzunguko.
 
Na namna Mungu alivyoumba ni kwamba mwanga wa jua ukishapita,mwezi ambao nao upo kwenye mzunguko kuzunguka round table hiyo(Dunia)unapita kumulika kule jua lilipohama kimzunguko.

Ni sawa na mwanafunzi amuambie mwalimu athibitishe kwamba binadamu alikuwa sokwe...

Hapo lazima fimbo ihusike
Je! Ni kweli wanadamu tulianza kuwa sokwe kwanza na ndio tukawa binadamu? Jibu ni HAPANA KUBWA. Mungu alituumba tukiwa wanadamu kamili. Tena kwa sura na mfano wake.
 
sio kwamba sielewi ila nataka ueleze how..? kutembea sio kupaa sasa tutumie ndege ama nzi yupo hewani ni kivipi, nafikiri mpk hapo utakuwa umeshaelewa swali!
 
sio kwamba sielewi ila nataka ueleze how..? kutembea sio kupaa sasa tutumie ndege ama nzi yupo hewani ni kivipi, nafikiri mpk hapo utakuwa umeshaelewa swali!
Sawa basi ili uelewe hili unatakiwa kujua kuwa hii issue angahewa na dunia vinatenda kazi kama vile tu bus yaani Na huyo mtu anaekuwa anafanya movement.

Chukua huo mfano wa nzi awe anafanya movement zake kwenye gari linalotembea ndo hivo hivo na kwa ndege zinapokuwa zikifanya movement zake kwenye anga hewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…