SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

Amorapa alithibitisha uanaume wa dar alivoona mguu wa kuku akatoka nduki,,,
 
Unakosa uhondo shost,wanaume wa Dar wana raha yake ujue! Ukimtembelea huna haja ya kubeba vipodozi,kila aina ya kipodozi unamkuta nacho wewe ni kujiremba tu tena huku mnanyang'anyana kioo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Wa hivyo si jamii ya kina dida mtamu jamani? Acha nikose uhondo nishazoea wanaume wangu wa mkoani.
 
Thread aina hii zinawapa faraja watu wa aina fulani.
 
Unakosa uhondo shost,wanaume wa Dar wana raha yake ujue! Ukimtembelea huna haja ya kubeba vipodozi,kila aina ya kipodozi unamkuta nacho wewe ni kujiremba tu tena huku mnanyang'anyana kioo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haya ni matusi ya kwenye nguo...
Eti wanajiremba kama dadazao
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haya ni matusi ya kwenye nguo...
Eti wanajiremba kama dadazao
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ushimen usinichonganishe na habiby wangu,mwanaume wa Dar!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…