Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
Hello everyone , how is yr weekeeeend going ? Okay, wakati wanachadema wakiwa na furaha na shamla shamla za kiongozi wao mbowe kurudi uraiani basi na mimi bila ya kupoteza muda wala kupepesa macho ningependa niende moya kwa moya kwenye mada .
Imezoleka saaaaana katika jamii kwa sisi wanaume kutokuonea aibu kivileeee especially tunapokuwa mbele ya wanaume wenzetu lakini hali inaweza kuwa tofaaaaaauti kabisa kwa upande wa pili yani kwa wanawake , sasa basi kutoka na halii ningependa kuwauliza wanawake wote ambao mgependa kushiriki mjadala huu ndani ya jamiiforum .
JE UNAWEZA KUVAA KUANZIA NGUO YA KWANZA HADI YA MWISHO MBELE YA MWANAMKE MWENZIO( YANI MBELE YA SHOSTI AU CLASSMATE WAKO )?.
Imezoleka saaaaana katika jamii kwa sisi wanaume kutokuonea aibu kivileeee especially tunapokuwa mbele ya wanaume wenzetu lakini hali inaweza kuwa tofaaaaaauti kabisa kwa upande wa pili yani kwa wanawake , sasa basi kutoka na halii ningependa kuwauliza wanawake wote ambao mgependa kushiriki mjadala huu ndani ya jamiiforum .
JE UNAWEZA KUVAA KUANZIA NGUO YA KWANZA HADI YA MWISHO MBELE YA MWANAMKE MWENZIO( YANI MBELE YA SHOSTI AU CLASSMATE WAKO )?.