BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Hilo tu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamchekani kwamba huyu ni flat screen, chogo, kitambi, mitindi etc??Kuvaa? Watu tunakaa kabisa uchi wa mnyama na tunazunguka zunguka na unakuta wapo watano[emoji23][emoji23] au zaidi.
Mimi kipindi nipo hostel nilikuwa natoka na chupi tu hadi room nyingine kunyoosha nguo halafu wewe unauliza kuvaa?
Kapicha tafadhali...Ya kutosha na hips..na katumbo kalikuwa kadogo na rangi ya mtume na chuchu saa 6.
Nimejibu vyote kuepusha maswali ya ziada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea umemaliza kila kitu woiiiiiih.
Bora hata. Karibuni.Jaman pm iwe wazi tunakuja
Unadhani nashindwa sasa..[emoji23]Naomba utoke na chupi tu toka rum hadi kwenye gari langu tafadhali[emoji28] nimepaki nje kwako hapa!
Ungesema lesboo tyuuh, gay ni maana nyingne kabisaa, na hakukuwa na ulazima wa kutaja hilo, mbna ungeeleweka vizuri tyuuh. LolMkuu kama ulikuwa hujui hakuna jinsia ambayo ni "gay" (wenye mahusiano ya jinsia moja na wasiooneana aibu) kama wanawake.
Ndio maana kukuta wanawake kukumbatiana hovyo, kubusiana, kutomasana ni kawaida sana kwao.
Mfano mwingine majina wanayoitana wenyewe kwa wenyewe. Dear, mpenzi, sweetheart n.k. Sasa wewe jichanganye umuite mwanaume mwenzako hayo majina uone.
Sasa sembuse la kuvaa nguo mbele ya mwenzake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]
Jamani kwahiyo hii intaviyuu hainihusu mimi?Wewe tunajua unaweza maana ni mkorofi waache wapole waje wajibu..[emoji23]
Hamna hatuchekani. Wakati mwingine hata haushtuki kama mtu yupo uchi hata.Hamchekani kwamba huyu ni flat screen, chogo, kitambi, mitindi etc??
Nikiwa natembea tembea uchi au sio?Kapicha tafadhali...
Kwanza wewe ni myukireini..😂Jamani kwahiyo hii intaviyuu hainihusu mimi?
Gay is gay biatch.Ungesema lesboo tyuuh, gay ni maana nyingne kabisaa, na hakukuwa na ulazima wa kutaja hilo, mbna ungeeleweka vizuri tyuuh. Lol
Kwahiyo hata nisingesema ungejua tu natembeaga uchi[emoji23][emoji23]?Kwanza wewe ni myukireini..[emoji23]
Kipaji kinauilizwaga..😂Kwahiyo hata nisingesema ungejua tu natembeaga uchi[emoji23][emoji23]?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hapo ndo imesema kwa wanawake? Na ukaenda hadi Google kucheki, woiiiiiiiiiiiih hahahahahGay is gay biatch. View attachment 2139659