Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,446
- 14,880
Wewe sio mpole wala sio mkorofi bali wewe ni kauzu tena zaidi ya dagaa.Hivi mie ni mkorofi ama mpole?
Manake sina ubavu wa kukaa uchi mbele ya kiumbe chochote duniani
Nahisi hata akiwekwa mtoto mchanga hapo nibaki nae room moja nitavaa kwa kujificha
Ila hua naikubali sana misimamo yako.