reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie mpole bhana,tatizo siendekezi uboyaUongo ni tabia za wakorofi..😂
We unaaibu ila mkorofi wastani,ukikutana na mjanja wako unakuwa mpole ila ukikutana na boya anakuona kama Tyson..🤣
Sawa ila nimegundua umedanganya uliposema huwezi kukaa uchi kwa kiumbe yoyote yule..Mie mpole bhana,tatizo siendekezi uboya
You are arguing with an imbecile,Sidhani kama upo kwenye position ya kunifundisha mimi kiingereza mkuu. Gay ni gay tu awe wakike au wakiume. Jua hivyo.
Literally gay is homo.
😬😬Kuoga na kujisugua kabisaa tena mwanduuu!!wanawake hatuna habari!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sawa ila nimegundua umedanganya uliposema huwezi kukaa uchi kwa kiumbe yoyote yule..
Ahsante kwa kutupiga na kitu kizito kisogoni..😂
Wewe uta share experience yako upande wa uboiziniNasoma comments tyuuh mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti mpk leo bado kanafanyaga za manguonguo..🤣Siwezi kweli
Amegusa kitengoUngesema lesboo tyuuh, gay ni maana nyingne kabisaa, na hakukuwa na ulazima wa kutaja hilo, mbna ungeeleweka vizuri tyuuh. Lol
Tena kanga huku ndn uko empty[emoji28][emoji28]Afu mimi sijazoea mambo ya kujibana nikishinda nyumbani nafunga khanga siku mzima. Mtu akigonga mlango nasikilizia kama wa kiume ndo naenda kuvaa kama wa kike siangaiki aingie tu.
Wewe unabishana na expert wa hizo mamboGay is gay biatch. View attachment 2139659
Huyu hajakutana na wale wanaopiga deki kabisaa na wapo Kama walivyojaliwa na mashosti wanagalagala hamuhumo geto....Kuvaa? Watu tunakaa kabisa uchi wa mnyama na tunazunguka zunguka na unakuta wapo watano[emoji23][emoji23] au zaidi.
Mimi kipindi nipo hostel nilikuwa natoka na chupi tu hadi room nyingine kunyoosha nguo halafu wewe unauliza kuvaa?
Kyupi ni kazini tu home kujiachiaTena kanga huku ndn uko empty[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi ni watoto tu wanitia kiwingu ndani...napenda sana kukaa na kutembea ndan nikiwa uchi.Nakumbuka hostel nikitoka kuoga nilikuwa nakunja kanga naweka chini nakalia nikiwa uchi naota jua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upoo we mzee wa kitengo? Mbna umepotea sana?Amegusa kitengo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huo u expert ulinipa wee? MsieeeewWewe unabishana na expert wa hizo mambo
Nipo naugulia kupigwa na kitu kizito [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upoo we mzee wa kitengo? Mbna umepotea sana?